Author: Charles Adika
-
WAKAZI WA MOSESWO, KANGILKWAN WAKADIRIA HASARA YA MIFUGO KUFUATIA MKURUPUKO WA UGONJWA USIOJULIKANA.
Wakazi wa kijiji cha Moseswo, kangilkwan wadi ya mnagei eneo bunge la Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi wametoa wito kwa maafisa wa idara ya mifugo kufika eneo hilo kubaini […]
-
GAVANA KACHAPIN ATETEA TEUZI ZA RAIS RUTO ZA MAKATIBU WAKUU WA UTAWALA.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametofautiana na viongozi ambao wanamkosoa rais William Ruto kufuatia uteuzi wa makatibu wa utawala kwa madai ya kuongeza mzigo kwa mlipa ushuru […]
-
WADAU WATAKIWA KUWEKA MIKAKATI YA KUKABILI MATUMIZI YA DAWA ZA KULEVYA MIONGONI MWA VIJANA KACHELIBA.
Ipo haja kwa wadau mbali mbali kaunti ya Pokot magharibi kujitokeza na kubuni mikakati ya kukabiliana na matumizi ya mihadarati miongoni mwa vijana. Ni wito wake askofu wa kanisa la […]
-
RAILA ASUTWA VIKALI KWA KUWA ‘KISIRANI’ KWA SERIKALI ZA HAPA NCHINI.
Viongozi wanaoegemea mrengo wa Kenya kwanza wameendelea kumsuta kinara wa chama cha muungano wa azimio la umoja one Kenya Raila Odinga kwa kuendeleza maandamano dhidi ya serikali ya rais William […]
Top News








