Author: Charles Adika
-
VIONGOZI POKOT MAGHARIBI WALAUMIWA KWA KUENDELEZA SIASA ZA MAPEMA.
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewakosoa baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kwa kile amesema kwamba wameanza kujihusisha na siasa za mapema miezi michache […]
-
WADAU WATAKIWA KUZIDISHA VITA DHIDI YA MIMBA ZA MAPEMA MIONGONI MWA WATOTO WA KIKE.
Jamii imetakiwa kuchangia katika juhudi za kuhakikisha kwamba mimba za mapema miongoni mwa watoto wa kike zinakomeshwa kabisa katika kaunti ya Pokot magharibi.Ni wito wake naibu mwalimu mkuu wa shule […]
-
UTOVU WA USALAMA WASALIA KIZUNGUMKUTI CHESOGON, WAKAZI WAKIPAZA VILIO.
Wakazi wa Cheptulel eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo Marakwet wamelalamikia kukithiri utovu wa usalama ambao unasababishwa na uvamizi wa mara kwa […]
Top News