Tag: politics
-
Kachapin awaonya maafisa ‘wazembe’ katika serikali yake
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusisitiza kwamba kamwe hataruhusu maafisa wazembe katika serikali yake. Akizungumza katika katika kikao na wanahabari, Gavana Kachapin alisema atatumia […]
-
Kubuniwa hazina ya miundo mbinu ni hatua muhimu kwa safari ya Kenya kufikia Singapore; Poghisio
Na Benson Aswani,Hatua ya baraza la mawaziri kubuni hazina ya miundo mbinu (infrastructure fund) inadhihirisha umakini wa serikali chini ya uongozi wa rais William Ruto kuhakikisha kwamba uchumi wa taifa […]
-
Usimamizi mbaya wa raslimali ndio unaohujumu maendeleo ya taifa; Kachapin
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maono ya rais kulifanya taifa hili kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika kiuchumi yani first world countries yataafikiwa iwapo […]
-
Uchimbaji madini ulituletea hasara kubwa na haufai kuruhusiwa tena kiholela; Moroto
Na Emmanuel Oyasi,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia madhara ambayo yalisababishwa na shughuli ya uchimbaji madini iliyokuwa ikiendeshwa maeneo kadhaa ya kaunti hiyo bila kufuata taratibu. Wakiongozwa na […]
-
Uchimbaji madini watajwa kuwa chanzo cha utovu wa usalama mipakani pa Pokot Magharibi na Turkana
Na Benson Aswani,Baadhi ya viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi sasa wanadai kwamba shughuli ya uchimbaji madini hasa maeneo ya mipakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya […]
-
Viongozi washutumu kuchipuka tena utovu wa usalama mipakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya mauaji ambavyo vimeshuhudiwa mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana katika siku za hivi karibuni. Wa hivi […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wabunge waendelea kung’ang’ania mkoba wa NG-CDF
Na Benson Aswani,Viongozi wa kaunti ya Pokot amgharibi wameendelea kutofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la kutaka hazina ya maendeleo kwa maeneo bunge NG-CDF kuondolewa […]
-
Raila analipwa na rais kutuharibia sifa; Moroto
Na Benson Aswani,Wabunge nchini wameendelea kulalamikia kauli ya rais William Ruto na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga kwamba wanajihusisha na maswala ya ufisadi katika kuwachunguza maafisa serikalini na […]
Top News










