Tag: politics
-
Wabunge waendelea kung’ang’ania mkoba wa NG-CDF
Na Benson Aswani,Viongozi wa kaunti ya Pokot amgharibi wameendelea kutofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la kutaka hazina ya maendeleo kwa maeneo bunge NG-CDF kuondolewa […]
-
Raila analipwa na rais kutuharibia sifa; Moroto
Na Benson Aswani,Wabunge nchini wameendelea kulalamikia kauli ya rais William Ruto na kinara wa chama cha ODM Raila Odinga kwamba wanajihusisha na maswala ya ufisadi katika kuwachunguza maafisa serikalini na […]
-
Poghisio atetea pendekezo la NG-CDF kuondolewa mikononi mwa wabunge
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ametetea kauli ya kinara wa chama cha ODM Raila Odinga kwamba hazina ya NGCDF ipokonywe wabunge na badala yake […]
-
Wakazi wa Endough watakiwa kujisajili kupata vitambulisho vya kitaifa
Na Benson Aswani,Mwakilishi wadi ya Endough kaunti ya Pokot magharibi Victor Siywat amepongeza idadi ya wakazi ambao wamejitokeza kuchukua vitambulisho katika zoezi ambalo limekuwa likiendelezwa eneo hilo. Akizungumza na kituo […]
-
Poghisio aelezea wasiwasi kuhusu serikali ya muungano
Na Benson Aswani,Huenda hatua ya serikali ya rais William Ruto kuunda serikali ya muungano na chama cha ODM ikawa na malengo ya kufanikisha maamuzi ya serikali pamoja na kutimiza malengo […]
-
Kachapin aisuta idara ya elimu kwa kuendeleza ubaguzi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amelalamikia kile amedai kuendelezwa ubaguzi katika idara ya elimu, kaunti zingine zikipendelewa kuliko kaunti hii ya Pokot magharibi. Akizungumza katika […]
-
Huenda ODM ikajiondoa Azimio kuelekea uchaguzi wa 2027; Poghisio
Samwel Poghisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot Magharibi ,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Kuna uwezekano mkubwa wa chama cha ODM kuunda muungano mmoja na serikali ya Kenya kwanza kuelekea uchaguzi mkuu […]
-
Serikali yangu ni safi kama pamba; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea vikali utendakazi wa serikali yake akisema kwamba imezingatia pakubwa […]
-
Komole takes a jab at leaders engaging in early Politics in West Pokot County
By Benson Aswani, West Pokot County Deputy Governor Robert Komole, has called on political leaders to shun politics of the 2027 general election and focus on service to the residents […]
-
Kachapin Calls out Politicians Using Politics to Divide the Nation
By Benson Aswani, Leaders from West Pokot County have condemned the ongoing early politics in the country which they have described as regional, saying that those promoting such politics are […]
Top News