Tag: Education
-
Mwekezaji Salah Okech aanzisha mradi wa chakula kwa wakazi Songok
Na Benson Aswani,Wakazi wa maeneo ambako kunaendelezwa shughuli ya uchimbaji madini kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na huduma ambazo zinatolewa na baadhi ya wawekezaji katika sekta hiyo maeneo hayo. […]
-
Wadau walalamikia kutelekezwa shule za mashinani katika utekelezwaji mtaala wa CBE
Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa serikali kuwekeza zaidi katika elimu ya watoto hasa maeneo ya mashinani ambako wanakabiliwa na changamoto za kupata huduma ya viwango vinavyostahili vya elimu ya CBE. […]
-
Wanafunzi 74 wanufaika na ufadhili wa elimu kupitia mpango wa Elimu Scholarship Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wanafunzi 74 wamenufaika na ufadhili wa serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia mpango wa ufadhili wa elimu scholarship, karo yao ya shule ikilipwa pamoja na mahitaji mengine […]
-
Serikali yahimizwa kulainisha usimamizi wa shule za JSS, kuzuia migogoro zaidi
Na Emmanuel Oyasi,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS kaunti ya Pokot Magharibi sasa wanaitaka serikali kupitia wizara ya elimu kulainisha swala la usimamizi wa shule za sekondari msingi, kalenda […]
-
Shule ya wavulana ya Kapenguria yapandishwa hadhi na kuwa ya kitaifa
Na Benson Aswani,Walimu na wazazi wa shule ya upili ya wavulana ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kupandishwa hadhi shule hiyo kutoka kiwango cha extra county hadi […]
-
Maonyesho ya kilimo Pokot Magharibi yafunguliwa rasmi
Na Emmanuel Oyasi,Maonyesho ya kilimo katika kaunti ya Pokot magharibi yameanza rasmi wito, ukitolewa kwa wakazi wa kaunti hiyo kujitokeza na kuhudhuria maonyesho hayo ambayo yanaandaliwa katika uwanja wa maonyesho […]
-
Shinikizo za kutaka shule za JSS kujisimamia zaendelea kutolewa na vyama vya walimu
Na Benson Aswani,Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kimeshikilia msimamo wake kwamba ni lazima serikali itenganishe shule za sekondari msingi JSS na shule za […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
-
Ng’eno atimiza ahadi ya kugharamia elimu ya wasanii wawili Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Hatimaye mbunge wa Emurwa Dikir Johana Ng’eno ametimiza ahadi yake kugharamia elimu ya vijana wawili wasanii katika kaunti ya Pokot magharibi, ambayo alitoa katika hafla ya mwanamuziki mmoja […]
-
Mashirika ya jamii yapongezwa kwa kuchangia kupungua ukeketaji pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Msaidizi wa kamishina eneo la Chesogon kaunti ya Pokot magharibi Peter Njuguna amepongeza mikakati ambayo imewekwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii ambayo imepelekea […]
Top News










