News
-
MAUAJI LAMI NYEUSI YAENDELEA KUSUTWA NA VIONGOZI POKOT MAGHARIBI.
Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu mauaji ya watu watano eneo la Lami nyeusi mpakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana ambapo pia mbuzi 18 waliibwa na […]
-
VIONGOZI BONDE LA KERIO WASUTA WIZARA YA USALAMA JINSI INAVYOSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA ENEO HILO.
Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert komole ameendelea kusisitiza haja ya serikali kupitia idara ya usalama kuangazia njia mbadala ya kukabiliana na utovu wa usalama eneo la bonde la […]
-
WIZARA YA USALAMA YATAKIWA KUBADILI MBINU YA KUWAKABILI WEZI WA MIFUGO BONDE LA KERIO.
Pana haja ya serikali kuu kupitia wizara ya usalama wa ndani kubadilisha mbinu ya kuwakabili wezi wa mifugo ambao licha ya oparesheni inayoendelea kwenye kaunti sita za bonde la ufa […]
-
WATU WATANO WAUA KATIKA SHUMBULIO LA HIVI PUNDE KIJIJI CHA LAMI NYEUSI POKOT MAGHARIBI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameshutumu vikali mauaji ya watu watano eneo la lami nyeusi mpakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana na ambayo yanaaminika kutekelezwa na […]
-
MSAKO DHIDI YA WANAOMILIKI BUNDUKI WAENDELEZWA UGANDA, WATU 26 KUTOKA JAMII YA POKOT WAKIZUILIWA NA POLISI.
Takriban watu 26 kutoka jamii ya pokot wanaoishi nchini Uganda wanazuiliwa katika kituo cha polisi cha Nakapirpirit kwa tuhuma za uvamizi kwa kutumia bunduki. Msako dhidi ya wanaomiliki bunduki unaoendelezwa […]
-
SERIKALI YATAKIWA KUIMARISHA USALAMA WA WALIMU MAENEO YANAYOSHUHUDIA UVAMIZI.
Viongozi mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wamelaani vikali kisa ambapo mwalimu wa shule ya upili ya Turkwel alivamiwa na majangili na kujeruhiwa vibaya mpakani pa kaunti ya Pokot […]
-
WAKULIMA POKOT MAGHARIBI WAENDELEA KUIMARIKA CHINI YA MRADI WA KENYA CLIMATE SMART.
Mradi wa Kenya climate smart umeendeleza harakati za kuyawezesha makundi mbali mbali ya wakulima kaunti ya Pokot magharibi kuimarisha kilimo chao hasa kinachohusu ufugaji na kilimo cha mimea. Msirikishi wa […]
-
KIMACHAS: TUTAFANYA KILA JUHUDI KUHAKIKISHA MTAALA WA CBC UNAFAULU.
Serikali inaendelea kuweka mikakati ya kutosha kuhakikisha kwamba mtaala mpya wa elimu CBC unafanikiwa. Akizungumza afisini mwake Mkurugenzi wa tume ya huduma kwa walimu TSC kaunti ya Pokot magharibi Benard […]
-
VIONGOZI WATAJA MBINU MBOVU ZINAZOTUMIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA KASKAZINI MWA BONDE LA UFA KUWA CHANZO CHA KUKITHIRI TATIZO HILO.
Serikali inapasa kuhakikisha kwamba miradi ya maendeleo inaanzishwa katika kaunti za kaskazini mwa bonde la ufa ambazo zinakabiliwa na utovu wa usalama unaosababishwa pakubwa na wezi wa mifugo. Haya ni […]
-
KACHAPIN: NITAHAKIKISHA VIWANDA VYOTE VINAVYOJENGWA KAUNTI HII VINAFUNGULIWA MWAKA HUU.
Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hii kwamba atahakikisha viwanda vyote ambavyo vinajengwa ikiwemo kile cha saruji eneo la Sebit pamoja na cha bidhaa […]
Top News








