News
-
Mashirika ya jamii yapongezwa kwa kuchangia kupungua ukeketaji pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Msaidizi wa kamishina eneo la Chesogon kaunti ya Pokot magharibi Peter Njuguna amepongeza mikakati ambayo imewekwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii ambayo imepelekea […]
-
Moroto aahidi kuhakikisha umeme unafika kila sehemu eneo bunge la Kapenguria
Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewahakikishia wakazi wa eneo bunge lake kwamba atahakikisha umeme unafika maeneo ambako kuna changamoto hiyo. Moroto alisema atatumia kipindi […]
-
Mikakati ya kuimarisha usalama Pokot Kaskazini yaendelea
Na Benson Aswani,Idara ya usalama kaunti ya Pokot magharibi inaendelea kuweka mikakati ya kukabili visa vya utovu wa usalama katika baadhi ya maeneo ya eneo la Pokot kaskazini ambako kumeripotiwa […]
-
Manispaa ya Kapenguria yaendeleza vikao na wakazi kuhusu sheria za mji
Na Benson Aswani,Uongozi wa manispaa ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi unaendeleza vikao na wakazi wa manispaa hiyo katika mikakati ya kutunga sheria ambazo zitasaidia katika kupangilia mji wa makutano. […]
-
Shirika la CEFA lakamilisha rasmi shughuli zake Endough
Na Benson AswaniShule ya upili ya wasichana ya Kriich katika wadi ya Endough kaunti ya Pokot magharibi ni moja ya shule ambazo zimenufaika na miradi inayoendelezwa na shirika la CEFA. […]
-
Kachapin aisuta idara ya elimu kwa kuendeleza ubaguzi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amelalamikia kile amedai kuendelezwa ubaguzi katika idara ya elimu, kaunti zingine zikipendelewa kuliko kaunti hii ya Pokot magharibi. Akizungumza katika […]
-
Kachapin awasuta wanaokosoa utendakazi wake
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea utendakazi wa serikali yake kutokana na shutuma ambazo zinaibuliwa na baadhi ya viongozi kaunti hiyo kwamba hamna lolote ambalo […]
-
Wadau waelezea kuridhishwa na mwelekeo wa elimu Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wadau wa elimu kaunti ya Pokot magharibi wameelezea kuridhishwa na idadi kubwa ya wazazi katika kaunti hiyo ambao wamekumbatia elimu kwa wanao ikilinganishwa na miaka ya awali. Wakiongozwa […]
-
Ushirikiano kati ya kamishina na serikali ya kaunti ya Pokot magharibi watajwa kuwa chanzo cha kupungua uhalifu
Na Benson Aswani,Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ametaja ushirikiano baina ya kamishina wa kaunti hiyo Abdulahi Khalif na uongozi wa gavana Simon Kachapin kuwa ndio umechangia kupungua […]
-
Murkomen atoa hakikisho la kukabili ‘wala watu’ Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen amewahakikishia wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kwamba serikali itakabiliana kikamilifu na swala la watoto kutekwa nyara […]
Top News