News
-
NEMA yatetea marufuku ya uchimbaji madini Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mamlaka ya mazingira nchini NEMA imetetea hatua ya kusitishwa rasmi shughuli ya uchimbaji madini maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi. Katika mahojiano na kituo hiki, mkurugenzi […]
-
Serikali ya Pokot Magharibi yawahakikishia wakazi uzinduzi wa basari mwezi Julai
Na Benson Aswani,Baada ya wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kusubiri kwa muda fedha za basari kutoka kwa serikali ya kaunti, naibu gavana Robert Komole hatimaye amewahakikishia wakazi kwamba serikali […]
-
Serikali ya Pokot Magharibi yakabidhiwa vifaa vya kuwasaidia walemavu
Na Benson Aswani,Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imepokea msaada wa vifaa vya kuwasaidia watu wanaoishi na ulemavu kutoka kwa shirika la Hope Mobility Kenya, ambavyo inatarajiwa kuvisambaza maeneo mbali […]
-
Wadau wa elimu waelezea wasiwasi kuhusu hatima ya watoto kielimu pokot ya kati
Na Benson Aswani,Eneo la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi linakabiliwa na changamoto tele katika sekta ya elimu ambazo zinafanya idadi kubwa ya watoto kukosa elimu. Akizungumza katika hafla ya […]
-
Viongozi wa kenya kwanza watetea michango wanayoendeleza maeneo mbali mbali ya nchi
Na Emmanuel Oyasi,Viongozi wa kaunti ya Pokot magharibi wanaoegemea mrengo wa rais William Ruto wamepongeza mtindo ambao umekumbatiwa na viongozi nchini wa kuendeleza michango ya kuyawezesha makundi ya akina mama […]
-
Kikundi cha Her Lab, Murpus chapongezwa kwa kuwaimarisha kina mama kiuchumi
Na Benso Aswani,Wajasiriamali kutoka mashirika mbali mbali nchini walikutana jumatano na makundi ya kina mama eneo la Murpus katika kaunti ya Pokot magharibi kubadilishana mawazo kuhusu jinsi ya kujiwezesha na […]
-
Poghisio alalamikia madhara yanayosababishwa na kiwanda cha saruji cha Sebit
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya kupanuliwa kiwanda cha saruji cha Sebit ili kiwe na uwezo wa kutengeneza simiti kikamilifu na kuzuia […]
-
Shughuli ya uchimbaji dhahabu yasitishwa rasmi Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Serikali ya kitaifa imeagiza kufungwa mara moja zaidi ya migodi 500 ambayo imekuwa ikitumika kuchimba dhahabu katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza Jumatatu baada ya kikao na wadau […]
-
Serikali yatakiwa kuweka mikakati ya kukabili baa la njaa Turkwel
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wengi wa eneo la Turkwel kaunti ya Pokot magharibi wanakabiliwa na njaa kutokana na kutokuwepo na mikakati ya kuwahusisha katika shughuli za kilimo cha mimea, na hivyo […]
-
Bunge la kaunti ya Pokot Magharibi lapitisha sheria itakayoruhusu kuachiliwa fedha za basari
Na Benson Aswani,Kwa muda mrefu fedha za basari katika kaunti ya Pokot magharibi zimekuwa zikitolewa kwa wanafunzi bila ya sheria rasmi ya kuongoza jinsi fedha hizo zinatolewa. Ni kutokana na […]
Top News