News
-
Serikali yatakiwa kuanzisha miradi ya maendeleo Bonde la Kerio kudumisha usalama.
Na Benson Aswani,Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Julius Murgor ametoa wito kwa serikali kuanzisha miradi ya maendeleo maeneo ya mipakani pa kaunti za bonde la kerio hasa baada ya […]
-
Poghisio ashutumu migawanyiko miongoni mwa viongozi Pokot Magharibi.
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya wadau katika kaunti hiyo kuja pamoja na kusemezana ili kupata mwelekeo wa kisiasa ambao utakuwa wenye […]
-
Kachapin awaonya maafisa ‘wazembe’ katika serikali yake
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusisitiza kwamba kamwe hataruhusu maafisa wazembe katika serikali yake. Akizungumza katika katika kikao na wanahabari, Gavana Kachapin alisema atatumia […]
-
Kubuniwa hazina ya miundo mbinu ni hatua muhimu kwa safari ya Kenya kufikia Singapore; Poghisio
Na Benson Aswani,Hatua ya baraza la mawaziri kubuni hazina ya miundo mbinu (infrastructure fund) inadhihirisha umakini wa serikali chini ya uongozi wa rais William Ruto kuhakikisha kwamba uchumi wa taifa […]
-
Usimamizi mbaya wa raslimali ndio unaohujumu maendeleo ya taifa; Kachapin
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maono ya rais kulifanya taifa hili kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika kiuchumi yani first world countries yataafikiwa iwapo […]
-
Vijana kutoka jamii za Pokot na Marakwet wadumisha amani kupitia miradi ya kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Hatua ya makundi ya vijana kutoka maeneo ya Cheptulel kaunti ya Pokot magharibi na Kaben kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuja pamoja na kuanzisha miradi ya kilimo imechangia […]
-
Serikali yahimizwa kulainisha usimamizi wa shule za JSS, kuzuia migogoro zaidi
Na Emmanuel Oyasi,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS kaunti ya Pokot Magharibi sasa wanaitaka serikali kupitia wizara ya elimu kulainisha swala la usimamizi wa shule za sekondari msingi, kalenda […]
-
Uchimbaji madini ulituletea hasara kubwa na haufai kuruhusiwa tena kiholela; Moroto
Na Emmanuel Oyasi,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia madhara ambayo yalisababishwa na shughuli ya uchimbaji madini iliyokuwa ikiendeshwa maeneo kadhaa ya kaunti hiyo bila kufuata taratibu. Wakiongozwa na […]
-
Idara ya usalama Pokot Magharibi yaimarisha juhudi za kukabili uhalifu masokoni
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Abdulahi Jire amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba usalama umeimarishwa hasa katika masoko na vituo vya biashara ili kuhakikisha visa vya […]
-
Makamishina wapya wa IEBC wakabiliwa na mtihani wa kwanza afisini
Na Emmanuel Oyasi,Makamishina wapya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC wanakabiliwa alhamisi Desemba 27 na mtihani wao wa kwanza katika kusimamia shughuli ya uchaguzi nchini tangu walipoingia […]
Top News










