News
-
Jamii ya Sengwer yataka kuzingatiwa katika nyadhifa za ajira
Wazee wa Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi imeitaka serikali kuitengea nyadhifa za kazi wakati wa zoezi la […]
-
Mwanamme amkatakata mwenzake wakizozania mwanamke
Na Benson Aswani,Polisi makutano kaunti ya Pokot magharibi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kisa ambapo mwanamme mmoja mwenye umri wa makamu anadaiwa kukatwakatwa kwa upanga hadi kufa kutokana na kile kinachodaiwa […]
-
Poghisio alalamikia kutengwa jamii ya Pokot katika teuzi serikalini
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendeleza shutuma zake kwa serikali ya Kenya kwanza […]
-
Athari za ajali ya ndege Kaben zadhihirika mwaka mmoja baadaye
Aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMwaka mmoja tangu kuanguka ndege iliyomuua aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, wakazi wa kijiji cha Kaben […]
-
Huenda ODM ikajiondoa Azimio kuelekea uchaguzi wa 2027; Poghisio
Samwel Poghisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot Magharibi ,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Kuna uwezekano mkubwa wa chama cha ODM kuunda muungano mmoja na serikali ya Kenya kwanza kuelekea uchaguzi mkuu […]
-
Ajali ya ndege iliyomwangamiza Ogolla ilipangwa; Kalonzo
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka akiwahutubia wanahabari, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Viongozi wa mrengo wa upinzani wameendelea kutilia shaka ripoti ya uchunguzi wa kiini cha ajali ya ndege iliyomwangamiza mkuu wa […]
-
Mabadiliko ya tabia nchi yapelekea vipindi visivyotabirika vya mvua
Wilson Lonyang’ole Mkurugenzi wa idara ya utabiri wa hali ya anga kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Maeneo mengi ya kaunti ya Pokot magharibi hasa nyanda za chini […]
-
Vikao vya kuwahamasisha wakazi dhidi ya ndoa za mapema vyaendelezwa Pokot magharibi
Masika Mwinyi afisa wa miradi katika shirika Youth for a Sustainable World YSW, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Youth for a Sustainable World YSW linaendeleza uhamasisho maeneo mbali mbali […]
-
4 wajeruhiwa na Chui Riwo, wakazi wakiishi kwa hofu
Mmoja wa waathiriwa wa uvamizi wa chui, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Wakazi wa kijiji cha Kalapochoni kata ndogo ya Poole wadi ya Riwo kaunti ya Pokot magharibi wanaishi kwa hofu kufuatia […]
-
Haitakuwa njia rahisi kwa Ruto kurejea ikulu; Poghisio
Rais Wiliam Ruto katika moja ya ziara zake za maendeleo, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Rais William Ruto atalazimika kukabiliwa na wakati mgumu katika safari yake ya kuwania awamu ya pili ya […]
Top News