News
-
Viongozi Pokot magharibi na Turkana watakiwa kuimarisha mazingira ya kutekelezwa miradi ya maendeleo
Na Benson Aswani,Waziri wa maswala ya afrika mashariki, maendeleo ya kikanda na maeneo kame Beatrice Askul amewataka viongozi wa kaunti za Pokot magharibi na Turkana kushirikiana kuhakikisha kwamba hali ya […]
-
Wanafunzi 74 wanufaika na ufadhili wa elimu kupitia mpango wa Elimu Scholarship Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wanafunzi 74 wamenufaika na ufadhili wa serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia mpango wa ufadhili wa elimu scholarship, karo yao ya shule ikilipwa pamoja na mahitaji mengine […]
-
Makamanda wa kaunti tano za bonde la ufa wakutana kuweka mikakati ya kukabiliana na mihadarati
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kanda ya bonde la ufa Samwel Ndanyi Jumatano, Januari 14, 2026 aliongoza kikao cha usalama kinachohusisha makamanda wa polisi kaunti tano za bonde la ufa […]
-
Serikali yatakiwa kuanzisha miradi ya maendeleo Bonde la Kerio kudumisha usalama.
Na Benson Aswani,Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Julius Murgor ametoa wito kwa serikali kuanzisha miradi ya maendeleo maeneo ya mipakani pa kaunti za bonde la kerio hasa baada ya […]
-
Poghisio ashutumu migawanyiko miongoni mwa viongozi Pokot Magharibi.
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya wadau katika kaunti hiyo kuja pamoja na kusemezana ili kupata mwelekeo wa kisiasa ambao utakuwa wenye […]
-
Kachapin awaonya maafisa ‘wazembe’ katika serikali yake
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusisitiza kwamba kamwe hataruhusu maafisa wazembe katika serikali yake. Akizungumza katika katika kikao na wanahabari, Gavana Kachapin alisema atatumia […]
-
Kubuniwa hazina ya miundo mbinu ni hatua muhimu kwa safari ya Kenya kufikia Singapore; Poghisio
Na Benson Aswani,Hatua ya baraza la mawaziri kubuni hazina ya miundo mbinu (infrastructure fund) inadhihirisha umakini wa serikali chini ya uongozi wa rais William Ruto kuhakikisha kwamba uchumi wa taifa […]
-
Usimamizi mbaya wa raslimali ndio unaohujumu maendeleo ya taifa; Kachapin
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maono ya rais kulifanya taifa hili kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika kiuchumi yani first world countries yataafikiwa iwapo […]
-
Vijana kutoka jamii za Pokot na Marakwet wadumisha amani kupitia miradi ya kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Hatua ya makundi ya vijana kutoka maeneo ya Cheptulel kaunti ya Pokot magharibi na Kaben kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuja pamoja na kuanzisha miradi ya kilimo imechangia […]
-
Serikali yahimizwa kulainisha usimamizi wa shule za JSS, kuzuia migogoro zaidi
Na Emmanuel Oyasi,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS kaunti ya Pokot Magharibi sasa wanaitaka serikali kupitia wizara ya elimu kulainisha swala la usimamizi wa shule za sekondari msingi, kalenda […]
Top News










