News
-
Ubalozi wa Ireland wazuru pokot magharibi kukagua miradi ya maendeleo
Neale Richmond- Balozi wa Ireland Nchini Kenya,Picha/Benson Aswan Na Emmanuel Oyasi,Ujumbe kutoka ubalozi wa Ireland nchini Kenya umezuru jumatano kaunti ya Pokot magharibi na kukagua miradi mbali mbali ambayo inaendelezwa […]
-
Kachapin atofautiana na wanaopinga mwafaka baina ya Ruto na Raila
Simon Kachapin-Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi,Picha/Benson Aswan Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameunga mkono ushirikiano kati ya rais William Ruto na kinara wa chama […]
-
Hatutaruhusu ukeketaji kuharibu kizazi kijacho, Kiprop
Vifaa Vinavyotumika Kwa Ukeketaji,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Miito imeendelea kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwalea vyema wanao na kuhakikisha kwamba wanapata haki zao za kimsingi badala ya kuwalazimishia […]
-
Viongozi bonde la kerio washinikiza kuongezwa idadi ya NPR
Titus Lotee – Mbunge wa Kacheliba, Picha/lochele Na Benson Aswan, Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amesema pana haja ya serikali kufanikisha mipango itakayohakikisha maeneo ya kiutawala […]
-
Wakazi bonde la Kerio watakiwa kuwatambua wahalifu miongoni mwao
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama wa ndani kipchumba murkomen amewahimiza viongozi pamoja na wananchi kaskazini mwa bonde la ufa kushirikiana na vitengo vya usalama kama njia moja ya kumaliza uhalifu […]
-
Kaunti ya Pokot magharibi imepiga hatua kukabili dhuluma za kijinsia
Bi. Scovia kachapin, Mkewe Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi, Picha / Benson Aswan. Na Emmanuel Oyasi, Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya […]
-
Khalif assures teachers of their security as closed schools reopen in Cheptulel
By Emmanuel Oyasi, West Pokot County Commissioner Abdulahi Khalif has assured teachers working in hostile areas at the County’s borders of their security as they carry on their daily duties. […]
-
The County Government Of West Pokot Has Launched A Vaccine Against Livestock Skin Disease
By Benson Aswani, The West Pokot County Government through the Ministry of Agriculture and Livestock has launched an exercise to vaccinate livestock against Lumpy skin disease. Speaking early on Tuesday […]
-
Kalya Radio Hosts Declares Kenya and Alternative Youth Party for a Live Discussion on Youth Climate Advocacy Across Kenya and Denmark
By Njenga Brian Alias DJ Rayyiz Kapenguria, Kenya — In a dynamic live radio talk show hosted by Brian Njenga Alias DJ Rayyiz at Kalya Radio, representatives from Declares Kenya […]
-
KCSE Examinations Kick Off Country-Wide
By Emmanuel Oyasi Kenya Certificate for Secondary Education (KCSE) examination has officially kicked off on Monday across the country where various schools received the assessment papers since dawn. Speaking to […]
Top News