News
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
-
Vita dhidi ya ujangili vyashika kasi Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi ameendeleza wito kwa wakazi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzirejesha kabla ya kukamilika makataa ya mwezi mmoja yaliyotolewa na waziri […]
-
KEMSA yaipokeza kaunti ya Pokot magharibi dawa za kima cha shilingi milioni 60
Na Benson Aswani,Huduma za matibabu zinatarajiwa kuimarika katika hospitali mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi baada kupokezwa dawa ya kima cha shilingi milioni 60 kutoka kwa shirika la kusambaza […]
-
Ng’eno atimiza ahadi ya kugharamia elimu ya wasanii wawili Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Hatimaye mbunge wa Emurwa Dikir Johana Ng’eno ametimiza ahadi yake kugharamia elimu ya vijana wawili wasanii katika kaunti ya Pokot magharibi, ambayo alitoa katika hafla ya mwanamuziki mmoja […]
-
Wamiliki wa silaha kinyume cha sheria Pokot na Turkana wapewa makataa ya siku 7 kuzisalimisha
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi amewataka wakazi ambao wanamiliki silaha kinyume cha sheria kuzisalimisha katika kipindi cha siku saba zijazo. Akizungumza baada ya kikao cha […]
-
Viongozi Pokot Magharibi watakiwa kuandaa kikao cha kuangazia swala la uchimbaji madini
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewataka viongozi kaunti hiyo kuandaa kikao cha kujadili hatima ya shughuli ya uchimbaji madini ambayo ilisitishwa kwa muda na […]
-
Wahalifu warejelea shughuli zao Songok
Na Benson Aswani,Chifu wa eneo la Songok mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Turkana Joseph Korkimul amesikitikia kuchipuka tena visa vya utovu wa usalama mpakani pa […]
-
Wabunge waendelea kung’ang’ania mkoba wa NG-CDF
Na Benson Aswani,Viongozi wa kaunti ya Pokot amgharibi wameendelea kutofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la kutaka hazina ya maendeleo kwa maeneo bunge NG-CDF kuondolewa […]
Top News