News
-
Mabadiliko ya tabia nchi yapelekea vipindi visivyotabirika vya mvua
Wilson Lonyang’ole Mkurugenzi wa idara ya utabiri wa hali ya anga kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Maeneo mengi ya kaunti ya Pokot magharibi hasa nyanda za chini […]
-
Vikao vya kuwahamasisha wakazi dhidi ya ndoa za mapema vyaendelezwa Pokot magharibi
Masika Mwinyi afisa wa miradi katika shirika Youth for a Sustainable World YSW, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Youth for a Sustainable World YSW linaendeleza uhamasisho maeneo mbali mbali […]
-
4 wajeruhiwa na Chui Riwo, wakazi wakiishi kwa hofu
Mmoja wa waathiriwa wa uvamizi wa chui, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Wakazi wa kijiji cha Kalapochoni kata ndogo ya Poole wadi ya Riwo kaunti ya Pokot magharibi wanaishi kwa hofu kufuatia […]
-
Haitakuwa njia rahisi kwa Ruto kurejea ikulu; Poghisio
Rais Wiliam Ruto katika moja ya ziara zake za maendeleo, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Rais William Ruto atalazimika kukabiliwa na wakati mgumu katika safari yake ya kuwania awamu ya pili ya […]
-
Serikali ipo mbioni kudhibiti hasara inayosababishwa na radi
David Chepelion afisa mkuu katika idara ya majanga kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi chini ya gavana Simon Kachapin inaendeleza mikakati ya […]
-
Serikali yangu ni safi kama pamba; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea vikali utendakazi wa serikali yake akisema kwamba imezingatia pakubwa […]
-
Deni la serikali ya kaunti lawanyima wakulima Pokot magharibi mbegu kutoka Kenya seed
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi watalazimika kugharamika zaidi msimu huu wa upanzi baada ya serikali ya kaunti […]
-
Wadau wapiga mbio kukomesha dhuluma za jinsia pokot magharibi
Wanchama wa GVRC baada ya kikao cha wadau kuhusu dhuluma za kijinsia, Picha/Benson Aswani Benson AswaniKituo cha Gender Violence Recovery Centre (GVRC) chini ya hospitali ya Nairobi Women kiliandaa kikao jumanne na […]
-
Serikali itafakari upya pendekezo la kuondoa basari mikononi mwa magavana; waziri Kide
Rebecca Kide Lotuliatum Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi Rebecca Kide Lotuliatum amesema idara ya elimu katika kaunti hiyo […]
-
Viongozi watakiwa kusitisha siasa na kuangazia maendeleo kwa wananchi
Simon Kachapin Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi kusitisha siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka […]
Top News