Author: Charles Adika
-
Kachapin apongeza juhudi za viongozi waliopigania ugatuzi
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza mashujaa anaosema walipigania ukombozi wa pili wa taifa, hali iliyopelekea kuwepo serikali za magatuzi ambazo zimeleta manufaa makubwa kwa […]
-
Wadau waendeleza mikakati ya kuimarisha kilimo Pokot Magharibi
Na Emmanuel Wakoli,Wadau mbali mbali katika kaunti ya Pokot magharibi wanaendeleza ushirikiano kwa pamoja na idara ya kilimo kaunti hiyo ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabia nchi kwenye […]
-
Idara ya usajili yapelekea huduma ya vitambulisho mashinani Pokot Magharibi
Na Angela Cherono,Idara ya usajili wa watu nchini inaendeleza zoezi la kuwasajili wakazi maeneo ya mashinani katika kaunti za maeneo kame nchini ambao wametimu umri wa kupata vitambulisho vya kitaifa […]
Top News








