Author: Charles Adika
-
Kiungo wa zamani wa Harambee Stars, Victor Wanyama, amesajiliwa na klabu ya Daraja la Pili Scotland
Victor Mugubi Wanyama akiwa Dunfermline, Picha/Maktaba Na Presenter wakoli Kiungo wa zamani wa Harambee Stars, Victor Mugubi Wanyama, amesajiliwa na klabu ya Daraja la Pili Scotland, Dunfermline Athletic FC, kwa […]
-
Serikali yaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo
Wanafunzi waelekea kupata chakula kupitia mpango wa lishe shuleni, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel OyasiShule mbali mbali eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi zimenufaika na chakula kutoka kwa […]
-
Viongozi Pokot Magharibi walaumiwa kwa wakazi kutopata teuzi katika serikali kuu
Daktari Samwel Poghisio,Picha / Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta viongozi katika kaunti hiyo kwa kile alisema kutochukua hatua yoyote kuwatetea wakazi kupata […]
-
Viongozi pokot magharibi waomboleza watu wanne walioangamia katika ajali, Uganda
Gari lililohusika Kwenye ajali Tapaach, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuomboleza vifo vya watu wanne, walioangamia kufuatia ajali mbaya ya barabarani jumamosi usiku kwenye eneo […]
Top News










