Author: Charles Adika
-
Viongozi Pokot magharibi wazidi kuteta kuhusu uchimbaji haramu wa madini
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong akiwa na baadhi ya wanaochimba madini, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kile wamedai uchimbaji madini kinyume […]
-
Shirika la GVRC laandaa kikao na wanahabari kuangazia vita dhidi ya dhuluma za jinsia
Wanahabari kutoka kaunti ya Pokot Magharibi katika mkutano wa kuangazia jinsi ya kukabili dhuluma za kijinsia, Picha/Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Gender Violence Recovery Centre GVRC limeandaa kikao na wanahabari […]
-
Wabunge wasimama tisti na NG-CDF
Samwel Moroto Mbunge wa Kapenguria, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Wabunge nchini wameendelea kutetea hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF wakitofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la […]
-
Hospitali ya Kapenguria yapania kuimarisha huduma kwa kubadilisha mfumo wake
Chumba cha wagonjwa katika Hospitali ya rufaa ya Kapenguria, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Uongozi wa hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi umetoa wito kwa wanaofika kutafuta huduma za afya […]
Top News









