Author: Charles Adika
-
Yanga ndio mabingwa wa ligi kuu nchini Tanzania wa mwaka 2024/2025
NA PRESENTER WAKOLI Ligi kuu ya Tanzania bara msimu wa 2024/25 imehitimishwa kwa namna isiyo ya kawaida. Yanga SC, klabu yenye historia kubwa na ushawishi mpana katika soka la Tanzania, […]
-
NEMA yatetea marufuku ya uchimbaji madini Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mamlaka ya mazingira nchini NEMA imetetea hatua ya kusitishwa rasmi shughuli ya uchimbaji madini maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi. Katika mahojiano na kituo hiki, mkurugenzi […]
-
Serikali ya Pokot Magharibi yawahakikishia wakazi uzinduzi wa basari mwezi Julai
Na Benson Aswani,Baada ya wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kusubiri kwa muda fedha za basari kutoka kwa serikali ya kaunti, naibu gavana Robert Komole hatimaye amewahakikishia wakazi kwamba serikali […]
-
Serikali ya Pokot Magharibi yakabidhiwa vifaa vya kuwasaidia walemavu
Na Benson Aswani,Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imepokea msaada wa vifaa vya kuwasaidia watu wanaoishi na ulemavu kutoka kwa shirika la Hope Mobility Kenya, ambavyo inatarajiwa kuvisambaza maeneo mbali […]
-
Wadau wa elimu waelezea wasiwasi kuhusu hatima ya watoto kielimu pokot ya kati
Na Benson Aswani,Eneo la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi linakabiliwa na changamoto tele katika sekta ya elimu ambazo zinafanya idadi kubwa ya watoto kukosa elimu. Akizungumza katika hafla ya […]
Top News










