Author: Charles Adika
-
Wakazi wahimizwa kukumbatia uhifadhi wa mazingira
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wamehimizwa kuhifadhi mazingira na kujizuia kukata miti kiholela ili kukabili changamoto ambazo zinatokana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi […]
-
Mwili wa mtoto wapatikana umeoza shambani Bendera
Na Benson Aswani,Idara ya upelelezi DCI imeanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mtoto mwenye umri wa miaka saba kupatikana kwenye shamba la mahindi ukiwa umeanza kuoza katika eneo la Bendera […]
-
Viongozi wa Kenya kwanza kaskazini mwa bonde la ufa watetea utawala wa rais Ruto
Na Benson Aswani,Wandani wa rais William Ruto kutoka kaskazini mwa bonde la ufa wamepuuzilia mbali miito ambayo inatolewa ya kumtaka rais Ruto kuondoka mamlakani kwa madai ya kushindwa kuliendesha taifa, […]
-
Komole awashutumu viongozi kwa kuendeleza siasa za mapema Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ameshutumu siasa za mapema ambazo zinaendelezwa na viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2027. Katika […]
Top News










