Author: Charles Adika
-
VIONGOZI KERIO VALLEY WALAUMU SERIKALI KWA KUSHUGHULIKIA UTOVU WA USALAMA KWA UPENDELEO.
Umiliki wa bunduki miongoni mwa baadhi ya wakazi katika bonde la kerio ndicho kikwazo kikubwa katika juhudi za kumaliza uhalifu ambao unaendelea kushuhudiwa eneo hili. Haya ni kwa kujibu wa […]
-
MWANAFUNZI AOKOLEWA KUTOKANA NA NDOA YA MAPEMA KACHELIBA.
Mwanafunzi mmoja aliyefanya mtihani wa darasa la nane KCPE mwaka jana anahifadhiwa katika kituo cha polisi cha Kacheliba kaunti hii ya Pokot magharibi baada ya kutorokea usalama katika kituo hicho […]
-
DORIA YA KIUSALAMA YAIMARISHWA CHESOGON BAADA YA KUUAWA WATU WAWILI.
Doria imeimarishwa eneo la Chesogon mpakani pa kaunti ya Pokot magharibi na kaunti jirani ya Elgeyo marakwet ili kuimarishwa usalama eneo hilo kufuatia mauaji ya watu wawili na mwingine mmoja […]
Top News









