Author: Charles Adika
-
TSC YASHUTUMU VISA VYA UVAMIZI DHIDI YA WALIMU POKOT MAGHARIBI.
Tume ya huduma kwa walimu TSC imeshutumu vikali visa vya uvamizi dhidi ya walimu katika kaunti ya Pokot magharibi ambavyo vimeripotiwa kukithiri.Akirejelea kisa cha hivi majuzi cha kuvamiwa mwalimu mkuu […]
-
SHUGHULI ZA MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI ZAANZA KUZAA MATUNDA POKOT MAGHARIBI.
Miradi ya kilimo ambayo ilianzishwa katika kaunti ya Pokot magharibi na mashirika yasiyo ya serikali kuanzia mwaka 2020 ikiwemo ile ya unyunyiziaji maji mashamba na kuhusisha makundi mbali mbali ya […]
-
SERIKALI YASUTWA KWA KUVUNJA SHERIA KATIKA KUKABILI UTOVU WA USALAMA BONDE LA KERIO.
Polisi kwa ushirikiano na kikosi cha maafisa wa jeshi wakiendelea na oparesheni ya kuondoa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria pamoja na kuhakikisha wanakabiliana na wezi wa mifugo katika bonde la […]
-
KAUNTI YA POKOT MAGHARIBI YAPOKEA DAWA ZA KIMA CHA SHILINGI MILIONI 43 KUTOKA KEMSA.
Shirika la kusambaza dawa na vifaa vya matibabu KEMSA limeipokeza kaunti ya Pokot magharibi dawa za kima cha shilingi milioni 43 huku likiahidi kusambaza kiwango kilichosalia kabla ya mwisho wa […]
Top News









