Author: Charles Adika
-
ZAIDI YA MAAFISA 216 WA NPR WASAJILIWA KATIKA JUHUDI ZA KUIMARISHA USALAMA BONDE LA KERIO.
Naibu kaunti kamishna eneo bunge la marakwet mashariki kaunti ya Elgeiyo marakwet Simon Osumba amesema tayari maafisa wa akiba NPR wapatao 216 wamesajiliwa kama alivyoagiza waziri wa usalama wa ndani […]
-
WATOTO WANNE WANASWA BAADA YA KUKEKETWA KACHELIBA POKOT MAGHARIBI.
Licha ya juhudi na mikakati iliyowekwa na serikali pamoja na mashirika mbali mbali katika kaunti hii ya Pokot magharibi kukabili tamaduni ya ukeketaji wa watoto wa kike, visa hivi vimeendelea […]
-
VIONGOZI WA MAENEO KAME NCHINI WATOFAUTIANA NA WANAOSHINIKIZA MABADILIKO YA KATIBA.
Shinikizo zikiendelea kutolewa kufanyia katiba ya sasa marekebisho ili kutekelezwa maswala mbali mbali ya uongozi wa sasa, baadhi ya viongozi katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamepinga jaribio lolote la […]
Top News