Author: Charles Adika
-
Shirika la msalaba mwekundu lazindua kituo cha maswala ya dharura EOC Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza ushirikiano wa shirika la msalaba mwekundi na serikali yake katika kushughulikia hali tofauti ambazo zimekuwa zikitokea kaunti hiyo kufuatia […]
-
Hatutakubali kufadhaishwa na serikali ya Kenya kwanza; Kachapin
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali kuu chini ya uongozi wa rais William Ruto kwa kile amedai inaendeleza juhudi za kuangamiza ugatuzi. Akizungumza […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
Top News







