Author: Charles Adika
-
Msako wa raia wa kigeni wanaoishi Pokot magharibi bila Kibali waanzishwa
Na Emmanuel Oyasi,Serikali imetangaza msako wa raia wa mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti ya Pokot magharibi bila stakabadhi zinazowaruhusu kuwa hapa nchini. Akizungumza kwa niaba ya kamishina, msaidizi […]
-
Serikali ya Pokot Magharibi yawekeza pakubwa katika sekta ya afya
Na Benson Aswani,Zaidi ya asilimia 30 ya bajeti ya serikali ya kaunti ya Pokot magharibi imeelekezwa kwenye idara ya afya kuhakikisha kwamba kuna dawa za kutosha katika hospitali na vituo […]
-
Wakazi wahimizwa kukumbatia uhifadhi wa mazingira
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi wamehimizwa kuhifadhi mazingira na kujizuia kukata miti kiholela ili kukabili changamoto ambazo zinatokana na mabadiliko ya tabia nchi. Akizungumza wakati wa uzinduzi […]
-
Mwili wa mtoto wapatikana umeoza shambani Bendera
Na Benson Aswani,Idara ya upelelezi DCI imeanzisha uchunguzi baada ya mwili wa mtoto mwenye umri wa miaka saba kupatikana kwenye shamba la mahindi ukiwa umeanza kuoza katika eneo la Bendera […]
Top News