Author: Charles Adika
-
Raia kutoka mataifa ya kigeni wanaoishi Pokot Magharibi kukaguliwa upya
Na Benson Aswani,Kamati ya usalama kaunti ya Pokot magharibi imeagiza raia kutoka mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti hiyo kukaguliwa upya ili kuthibitisha uhalali wa vyeti vinavyowaruhusu kuendeleza shughuli […]
-
Watu ‘wala watu’ Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya watoto wenye umri mdogo kutoweka katika njia zisizoeleweka na kisha kupatikana wakiwa wameuliwa. Wakiongozwa na mbunge wa Sigor […]
-
Wadau wa elimu Pokot magharibi wapongeza kuzinduliwa basari na serikali ya kaunti
Na Emmanuel Oyasi,Wadau mbali mbali katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kuzinduliwa basari ya serikali ya kaunti katika hafla ambayo iliandaliwa ijumaa iliyopita katika shule […]
-
Msako wa raia wa kigeni wanaoishi Pokot magharibi bila Kibali waanzishwa
Na Emmanuel Oyasi,Serikali imetangaza msako wa raia wa mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti ya Pokot magharibi bila stakabadhi zinazowaruhusu kuwa hapa nchini. Akizungumza kwa niaba ya kamishina, msaidizi […]
Top News