Author: Charles Adika
-
Shule ya wavulana ya Kapenguria yapandishwa hadhi na kuwa ya kitaifa
Na Benson Aswani,Walimu na wazazi wa shule ya upili ya wavulana ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kupandishwa hadhi shule hiyo kutoka kiwango cha extra county hadi […]
-
Mpango wa ‘Nyota’ wakosa msisimko uliotarajiwa
Na Benson Aswani,Idadi ndogo sana ya vijana walijitokeza katika hafla ya uhamasisho kuhusu mpango wa kuwawezesha vijana kiuchumi wa Nyota ambao umehasisiwa na rais William Ruto kwa msaada wa benki […]
-
Wakulima watakiwa kununua dawa za mimea kutoka kwenye maduka yaliyoidhinishwa
Na Benson Aswani,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini wanaponunua dawa za mimea na kuhakikisha kwamba wananunua kutoka kwenye maduka ambayo yameidhinishwa na bodi ya bidhaa za kudhibiti […]
Top News







