Tag: @security
-
Poghisio ashutumu mauaji ya watoto katika kaunti ya Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali visa vya kupotea watoto na kupatikana wakiwa wameuawa, ambavyo vimeripotiwa kutekelezwa na raia kutoka taifa jirani la […]
-
Raia kutoka mataifa ya kigeni wanaoishi Pokot Magharibi kukaguliwa upya
Na Benson Aswani,Kamati ya usalama kaunti ya Pokot magharibi imeagiza raia kutoka mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti hiyo kukaguliwa upya ili kuthibitisha uhalali wa vyeti vinavyowaruhusu kuendeleza shughuli […]
-
Mwanamme amkatakata mwenzake wakizozania mwanamke
Na Benson Aswani,Polisi makutano kaunti ya Pokot magharibi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kisa ambapo mwanamme mmoja mwenye umri wa makamu anadaiwa kukatwakatwa kwa upanga hadi kufa kutokana na kile kinachodaiwa […]
-
Athari za ajali ya ndege Kaben zadhihirika mwaka mmoja baadaye
Aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMwaka mmoja tangu kuanguka ndege iliyomuua aliyekuwa mkuu wa majeshi nchini jenerali Francis Ogolla, wakazi wa kijiji cha Kaben […]
Top News