News
-
Hospitali ya Kapenguria yapania kuimarisha huduma kwa kubadilisha mfumo wake
Chumba cha wagonjwa katika Hospitali ya rufaa ya Kapenguria, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Uongozi wa hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi umetoa wito kwa wanaofika kutafuta huduma za afya […]
-
Kadinali Robert Francis Prevost kutoka Amerika ndiye Papa Mpya
Papa mtakatifu mpya wa kanisa katoliki duniani Leo XIV, Picha/Maktaba Na Emmanuel Wakoli, Kadinali Robert Prevost kutoka Amerika, mwenye umri wa miaka 69 alichaguliwa kumrithi Papa Francis aliyefariki dunia Jumatatu […]
-
Wabunge waelezea hofu ya usalama kufuatia mauaji ya Were
Peter Lochakapong mbunge wa Sigor kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kutoa hisia zao kuhusiana na mauaji ya mbunge wa Kasipul […]
-
Shule ya Sangak yakabidhiwa wizara ya elimu, wakazi wakihimizwa kukumbatia elimu
Gavana Simon Kachapin akikagua madarasa kwenye shule ya Sangak, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa eneo la lami Nyeusi eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwapeleka […]
-
NG-CDF yaungwa mkono pakubwa shughuli ya kukusanya maoni ikiingia siku ya pili
Wakaazi wa sigor wakishiriki vikao vya maoni kuhusu NG-CDF, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shughuli ya kutoa maoni kuhusu hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF inaingia jumanne siku ya pili huku […]
-
Viongozi bonde la Kerio wakabana koo kuhusu utendakazi wa Murkomen
Samwel Moroto mbunge wa Kapenguria,Picha/Maktaba Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamemtetea waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba murkomen dhidi […]
-
Hofu huku visa vya uvamizi vikianza kuchipuka tena Kerio Valley
David Chepelion afisa mkuu wa maswala ya amani kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wadau mbali mbali wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea wasiwasi kuhusu […]
-
Tunapasa kubadilisha dhana ya kutegemea ufugaji kupitia elimu; Mastaluk
Richard Mastaluk Mwakilishi wadi ya Kapenguria, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuwahimiza wazazi kukumbatia elimu ya wanao kwa manufaa ya maisha yao […]
-
Wazazi wahimizwa kuwekeza katika elimu ya wanao
Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa msitari wa mbele kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao hasa wa […]
-
Poghisio aitaka serikali kukoma mtindo wa ukopaji
Samwel Pogihisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMiito imeendelea kutolewa kwa uongozi wa serikali ya kenya kwanza chini ya rais William Ruto kupunguza madeni ambayo […]
Top News