News
-
Viongozi Pokot magharibi wazidi kuteta kuhusu uchimbaji haramu wa madini
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong akiwa na baadhi ya wanaochimba madini, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kile wamedai uchimbaji madini kinyume […]
-
Shirika la GVRC laandaa kikao na wanahabari kuangazia vita dhidi ya dhuluma za jinsia
Wanahabari kutoka kaunti ya Pokot Magharibi katika mkutano wa kuangazia jinsi ya kukabili dhuluma za kijinsia, Picha/Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Gender Violence Recovery Centre GVRC limeandaa kikao na wanahabari […]
-
Wabunge wasimama tisti na NG-CDF
Samwel Moroto Mbunge wa Kapenguria, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Wabunge nchini wameendelea kutetea hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF wakitofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la […]
-
Hospitali ya Kapenguria yapania kuimarisha huduma kwa kubadilisha mfumo wake
Chumba cha wagonjwa katika Hospitali ya rufaa ya Kapenguria, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Uongozi wa hospitali ya Kapenguria katika kaunti ya Pokot magharibi umetoa wito kwa wanaofika kutafuta huduma za afya […]
-
Kadinali Robert Francis Prevost kutoka Amerika ndiye Papa Mpya
Papa mtakatifu mpya wa kanisa katoliki duniani Leo XIV, Picha/Maktaba Na Emmanuel Wakoli, Kadinali Robert Prevost kutoka Amerika, mwenye umri wa miaka 69 alichaguliwa kumrithi Papa Francis aliyefariki dunia Jumatatu […]
-
Wabunge waelezea hofu ya usalama kufuatia mauaji ya Were
Peter Lochakapong mbunge wa Sigor kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kutoa hisia zao kuhusiana na mauaji ya mbunge wa Kasipul […]
-
Shule ya Sangak yakabidhiwa wizara ya elimu, wakazi wakihimizwa kukumbatia elimu
Gavana Simon Kachapin akikagua madarasa kwenye shule ya Sangak, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa eneo la lami Nyeusi eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwapeleka […]
-
NG-CDF yaungwa mkono pakubwa shughuli ya kukusanya maoni ikiingia siku ya pili
Wakaazi wa sigor wakishiriki vikao vya maoni kuhusu NG-CDF, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shughuli ya kutoa maoni kuhusu hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF inaingia jumanne siku ya pili huku […]
-
Viongozi bonde la Kerio wakabana koo kuhusu utendakazi wa Murkomen
Samwel Moroto mbunge wa Kapenguria,Picha/Maktaba Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamemtetea waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba murkomen dhidi […]
-
Hofu huku visa vya uvamizi vikianza kuchipuka tena Kerio Valley
David Chepelion afisa mkuu wa maswala ya amani kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wadau mbali mbali wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea wasiwasi kuhusu […]
Top News