News
-
TSC yaahidi kushughulikia uhaba wa walimu Pokot magharibi
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi Simon Kachapin akikagua jengo la shule ya Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti […]
-
Poghisio awasuta wanaopongeza mateso waliyopitia wanaharakati nchini Tanzania
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot magharibi Samwel Poghisio,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali baadhi ya viongozi ambao wameonekana kupongeza hatua ya […]
-
Shule ya upili ya Tartar yafungwa ghafla kufuatia maandamano ya wanafunzi
Wanafunzi wa shule ya upili ya Tartar wakiwa nje ya afisi ya mkurugenzi wa elimu, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shule ya upili ya Tartar kaunti ya Pokot magharibi imefungwa kwa […]
-
KVDA yasambaza miche kwa shule za bonde la Kerio
Mkurugenzi mkuu wa KVDA Sammy Naporos akishiriki zoezi la upanzi wa miche, Picha/Angela Cherono Na Emmanuel Oyasi,Mamlaka ya mandeleo eneo la Kerio Valley KVDA inapeana miche milioni moja na laki […]
-
Wakfu wa Safaricom waikabidhi zahanati ya Kreswo vifaa vya matibabu
Maafisa kutoka wakfu wa safaricom wakikabidhi zahanati ya Kreswo vifaa vya matibabu,Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Zahanati ya Kreswo katika wadi ya Riwo kaunti ya Pokot magharibi imepigwa jeki baada ya […]
-
Lotee akemea hazina ya taifa kwa kuchelewesha fedha za CDF
Mbunge wa kacheliba akizundua Basari,Picha/Joseph Lochele Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amezindua basari ya kima cha shilingi 60,000,000, katika hafla ambayo iliandaliwa alhamisi […]
-
Jopo la kuangazia dhuluma za jinsia laandaa vikao vya umma
Wakaazi wa kaunti ya pokot magharibi wakitoa maoni kuhusu dhuluma za kijinsia, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Jopokazi la kuangazia swala la dhuluma za jinsia linaendeleza zoezi la kuwahusisha wananchi katika […]
-
Viongozi Pokot magharibi wazidi kuteta kuhusu uchimbaji haramu wa madini
Mbunge wa Sigor Peter Lochakapong akiwa na baadhi ya wanaochimba madini, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia kile wamedai uchimbaji madini kinyume […]
-
Shirika la GVRC laandaa kikao na wanahabari kuangazia vita dhidi ya dhuluma za jinsia
Wanahabari kutoka kaunti ya Pokot Magharibi katika mkutano wa kuangazia jinsi ya kukabili dhuluma za kijinsia, Picha/Aswani Na Benson Aswani,Shirika la Gender Violence Recovery Centre GVRC limeandaa kikao na wanahabari […]
-
Wabunge wasimama tisti na NG-CDF
Samwel Moroto Mbunge wa Kapenguria, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Wabunge nchini wameendelea kutetea hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF wakitofautiana na pendekezo la kinara wa chama cha ODM Raila Odinga la […]
Top News