News
-
Wadau waelezea kuridhishwa na mwelekeo wa elimu Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wadau wa elimu kaunti ya Pokot magharibi wameelezea kuridhishwa na idadi kubwa ya wazazi katika kaunti hiyo ambao wamekumbatia elimu kwa wanao ikilinganishwa na miaka ya awali. Wakiongozwa […]
-
Ushirikiano kati ya kamishina na serikali ya kaunti ya Pokot magharibi watajwa kuwa chanzo cha kupungua uhalifu
Na Benson Aswani,Naibu gavana kaunti ya Pokot magharibi Robert Komole ametaja ushirikiano baina ya kamishina wa kaunti hiyo Abdulahi Khalif na uongozi wa gavana Simon Kachapin kuwa ndio umechangia kupungua […]
-
Murkomen atoa hakikisho la kukabili ‘wala watu’ Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen amewahakikishia wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi kwamba serikali itakabiliana kikamilifu na swala la watoto kutekwa nyara […]
-
Kachapin atakiwa kuangazia lalama za wanafunzi kuhusu basari
Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ametoa wito kwa gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuangazia lalama ambazo zinatolewa na baadhi ya wanafunzi wa shule za upili […]
-
Mpango wa ‘Ondoa Nyasi’ pokot magharibi washika kasi
Na Benson Aswani,Mpango unaondelezwa na gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin kuwajengea wakazi nyumba za mabati maarufu ondoa nyasi ni wenye manufaa makubwa hasa ikizingatiwa nyasi ambazo zinatumika […]
-
Agizo la kuwapiga risasi miguuni wanaovuruga amani kwenye maandamano lazidi kukeketa
Na Benson AswaniAgizo la rais William Ruto kwa maafisa wa polisi kuwapiga risasi na kuwajeruhi miguuni wahalifu ambao wanatumia maandamano ya vijana wa kizazi cha Gen-Z kuvuruga amani na kupora […]
-
Serikali yatakiwa kuweka mikakati mwafaka kabla ya kurejelewa uchimbaji madini Pokot magharibi
Na Benson aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameitaka serikali ya kitaifa kuweka mikakati ya usalama maeneo ya kuchimba migodi katika kaunti hiyo kabla ya kuruhusu shughuli hiyo kurejelewa rasmi. […]
-
Makamanda wa rais Pokot Magharibi waendelea kutetea utendakazi wake
Na Benson Aswani,Viongozi mbali mbali wandani wa rais William Ruto katika kaunti ya Pokot Magharibi wameendelea kutetea utendakazi wa serikali ya Kenya kwanza chini ya uongozi wa rais Ruto licha […]
-
Poghisio ashutumu mauaji ya watoto katika kaunti ya Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali visa vya kupotea watoto na kupatikana wakiwa wameuawa, ambavyo vimeripotiwa kutekelezwa na raia kutoka taifa jirani la […]
-
Raia kutoka mataifa ya kigeni wanaoishi Pokot Magharibi kukaguliwa upya
Na Benson Aswani,Kamati ya usalama kaunti ya Pokot magharibi imeagiza raia kutoka mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti hiyo kukaguliwa upya ili kuthibitisha uhalali wa vyeti vinavyowaruhusu kuendeleza shughuli […]
Top News










