News
-
Serikali yangu ni safi kama pamba; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametetea vikali utendakazi wa serikali yake akisema kwamba imezingatia pakubwa […]
-
Deni la serikali ya kaunti lawanyima wakulima Pokot magharibi mbegu kutoka Kenya seed
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa kaunti ya Pokot magharibi watalazimika kugharamika zaidi msimu huu wa upanzi baada ya serikali ya kaunti […]
-
Wadau wapiga mbio kukomesha dhuluma za jinsia pokot magharibi
Wanchama wa GVRC baada ya kikao cha wadau kuhusu dhuluma za kijinsia, Picha/Benson Aswani Benson AswaniKituo cha Gender Violence Recovery Centre (GVRC) chini ya hospitali ya Nairobi Women kiliandaa kikao jumanne na […]
-
Serikali itafakari upya pendekezo la kuondoa basari mikononi mwa magavana; waziri Kide
Rebecca Kide Lotuliatum Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Waziri wa elimu kaunti ya Pokot magharibi Rebecca Kide Lotuliatum amesema idara ya elimu katika kaunti hiyo […]
-
Viongozi watakiwa kusitisha siasa na kuangazia maendeleo kwa wananchi
Simon Kachapin Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wito umetolewa kwa viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi kusitisha siasa za uchaguzi mkuu wa mwaka […]
-
Mulongo aahidi kupanda miti kwa juhudi baada ya kupokonywa sindano
Debora Barasa Mulongo Akipanda miti,Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Waziri wa afya anayeondoka Debora Barasa Mulongo amepongeza hatua ya rais William Ruto kumteua kuwa waziri wa mazingira katika mabadiliko ya hivi […]
-
Serikali yaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo
Wanafunzi waelekea kupata chakula kupitia mpango wa lishe shuleni, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel OyasiShule mbali mbali eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi zimenufaika na chakula kutoka kwa […]
-
Viongozi Pokot Magharibi walaumiwa kwa wakazi kutopata teuzi katika serikali kuu
Daktari Samwel Poghisio,Picha / Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta viongozi katika kaunti hiyo kwa kile alisema kutochukua hatua yoyote kuwatetea wakazi kupata […]
-
Viongozi pokot magharibi waomboleza watu wanne walioangamia katika ajali, Uganda
Gari lililohusika Kwenye ajali Tapaach, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuomboleza vifo vya watu wanne, walioangamia kufuatia ajali mbaya ya barabarani jumamosi usiku kwenye eneo […]
-
Wakulima Pokot magharibi wahimizwa kuanza upanzi
Shamba ambalo Linatayarishwa kwa Upanzi Wa mahindi,picha/Maktaba Na Benson Aswani,Idara ya kilimo katika kaunti ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wakulima kuanza shughuli ya upanzi wakati huu ambapo kumeendelea kushuhudiwa […]
Top News