News
-
Chanjo ya HPV yazinduliwa wazazi wakihimizwa kuhakikisha wanao wanapewa chanjo hiyo
Na Benson Aswani,Kundi la wake wa magavana nchini limetoa wito kwa wananchi kukumbatia chanjo ya kuzuia saratani ya kizazi HPV ambayo imezinduliwa rasmi na kundi hilo la wake wa magavana […]
-
Maonyesho ya kilimo Pokot Magharibi yafunguliwa rasmi
Na Emmanuel Oyasi,Maonyesho ya kilimo katika kaunti ya Pokot magharibi yameanza rasmi wito, ukitolewa kwa wakazi wa kaunti hiyo kujitokeza na kuhudhuria maonyesho hayo ambayo yanaandaliwa katika uwanja wa maonyesho […]
-
Shinikizo za kutaka shule za JSS kujisimamia zaendelea kutolewa na vyama vya walimu
Na Benson Aswani,Chama cha walimu wa shule za upili na vyuo vya kadri KUPPET kimeshikilia msimamo wake kwamba ni lazima serikali itenganishe shule za sekondari msingi JSS na shule za […]
-
Shirika la msalaba mwekundu lazindua kituo cha maswala ya dharura EOC Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza ushirikiano wa shirika la msalaba mwekundi na serikali yake katika kushughulikia hali tofauti ambazo zimekuwa zikitokea kaunti hiyo kufuatia […]
-
Hatutakubali kufadhaishwa na serikali ya Kenya kwanza; Kachapin
Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali kuu chini ya uongozi wa rais William Ruto kwa kile amedai inaendeleza juhudi za kuangamiza ugatuzi. Akizungumza […]
-
Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji
Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa […]
-
Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom
Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana […]
-
Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu […]
-
Mhudumu wa afya amlawiti mgonjwa Murpus
Na Benson Aswani,Mhudumu mmoja wa afya mwenye umri wa miaka 55 eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi anazuiliwa na maafisa wa polisi kwa madai ya kumlawiti kijana mmoja, mwanafunzi […]
-
Vita dhidi ya ujangili vyashika kasi Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Kamishina wa kaunti ya Pokot magharibi Khalif Abdulahi ameendeleza wito kwa wakazi wanaomiliki silaha kinyume cha sheria kuzirejesha kabla ya kukamilika makataa ya mwezi mmoja yaliyotolewa na waziri […]
Top News










