News
-
NG-CDF yaungwa mkono pakubwa shughuli ya kukusanya maoni ikiingia siku ya pili
Wakaazi wa sigor wakishiriki vikao vya maoni kuhusu NG-CDF, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shughuli ya kutoa maoni kuhusu hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF inaingia jumanne siku ya pili huku […]
-
Viongozi bonde la Kerio wakabana koo kuhusu utendakazi wa Murkomen
Samwel Moroto mbunge wa Kapenguria,Picha/Maktaba Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamemtetea waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba murkomen dhidi […]
-
Hofu huku visa vya uvamizi vikianza kuchipuka tena Kerio Valley
David Chepelion afisa mkuu wa maswala ya amani kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wadau mbali mbali wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea wasiwasi kuhusu […]
-
Tunapasa kubadilisha dhana ya kutegemea ufugaji kupitia elimu; Mastaluk
Richard Mastaluk Mwakilishi wadi ya Kapenguria, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa kisiasa katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuwahimiza wazazi kukumbatia elimu ya wanao kwa manufaa ya maisha yao […]
-
Wazazi wahimizwa kuwekeza katika elimu ya wanao
Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Kina mama katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa msitari wa mbele kukumbatia elimu kwa ajili ya wanao hasa wa […]
-
Poghisio aitaka serikali kukoma mtindo wa ukopaji
Samwel Pogihisio aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Maktaba Na Benson AswaniMiito imeendelea kutolewa kwa uongozi wa serikali ya kenya kwanza chini ya rais William Ruto kupunguza madeni ambayo […]
-
Tukome kuzungumzia mabaya ya serikali, tuangazie mema; Lotee
Titus Lotee Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Wandani wa rais William Ruto katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kumtetea kutokana na utendakazi wake tangu […]
-
Jamii ya Sengwer yataka kuzingatiwa katika nyadhifa za ajira
Wazee wa Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Jamii ya Sengwer katika kaunti ya Pokot magharibi imeitaka serikali kuitengea nyadhifa za kazi wakati wa zoezi la […]
-
Mwanamme amkatakata mwenzake wakizozania mwanamke
Na Benson Aswani,Polisi makutano kaunti ya Pokot magharibi wameanzisha uchunguzi kuhusiana na kisa ambapo mwanamme mmoja mwenye umri wa makamu anadaiwa kukatwakatwa kwa upanga hadi kufa kutokana na kile kinachodaiwa […]
-
Poghisio alalamikia kutengwa jamii ya Pokot katika teuzi serikalini
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameendeleza shutuma zake kwa serikali ya Kenya kwanza […]
Top News










