Author: Charles Adika
-
Viongozi waendelea kutuma risala za rambi rambi kufuatia kifo cha Raila Odinga
Na Benson Aswani,Viongozi mbali mbali nchini wameendelea kuomboleza kifo cha aliyekuwa waziri mkuu Raila Odinga ambaye aliaga dunia mapema jana akiwa nchini India. Gavana wa kaunti ya Pokot Magharibi Simon […]
-
Poghisio ashutumu kuchipuka tena visa vya uvamizi kwenye mipaka ya Pokot Magharibi na Turkana
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali visa vya uvamizi ambavyo vimeanza kushuhudiwa tena mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana. Akizungumza […]
-
World Vision laikabidhi rasmi serikali ya kaunti ya Pokot Magharibi soko la mifugo la Orolwo
Na Emmanuel Oyasi,Wakulima wa mifugo katika eneo la Orolwo wadi ya Kodich katika kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya shirika la World Vision kukabidhi rasmi soko la mifugo […]
-
Viongozi waelezea haja ya kudhibitiwa shughuli ya uchimbaji madini Masol
Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong ametaka shughuli ya uchimbaji madini eneo la Masol Kudhibitiwa. Akizungumza baada ya kikao cha kubuni mikakati ya kuweka kamati […]
Top News









