Author: Charles Adika
-
Viongozi Pokot magharibi walaani kuchipuka tena utovu wa usalama mpakani pa Pokot na Turkana
Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya pokot magharibi simon kachapin amelaani mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi katika kijiji cha Loperumoi, Morita–Rumos, mpakani pa kaunti hiyo na ile ya Turkana. […]
-
Owalo aongoza ukaguzi wa mradi wa maji wa Muruny Pokot magharibi
Na Benson Aswani,Mradi wa maji wa Muruny kaunti ya Pokot magharibi utawafaidi zaidi ya watu alfu 350 punde utakapokamilika. Akizungumza baada ya kuongoza ukaguzi wa mradi huo, naibu mkuu wa […]
-
Serikali ya kaunti yatoa hundi ya shilingi milioni 19 kwa makundi ya wakulima Karas
Na Benson Aswani,Makundi 19 ya wakulima eneo la Karas kaunti ya Pokot magharibi yamenufaika na shilingi milioni 19 kutoka kwa serikali ya kaunti kama ufadhili wa kuyawezesha kuendeleza shughuli zao […]
Top News









