Author: Charles Adika
-
Hatutaruhusu ukeketaji kuharibu kizazi kijacho, Kiprop
Vifaa Vinavyotumika Kwa Ukeketaji,Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Miito imeendelea kutolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuwalea vyema wanao na kuhakikisha kwamba wanapata haki zao za kimsingi badala ya kuwalazimishia […]
-
Viongozi bonde la kerio washinikiza kuongezwa idadi ya NPR
Titus Lotee – Mbunge wa Kacheliba, Picha/lochele Na Benson Aswan, Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amesema pana haja ya serikali kufanikisha mipango itakayohakikisha maeneo ya kiutawala […]
-
Wakazi bonde la Kerio watakiwa kuwatambua wahalifu miongoni mwao
Na Benson Aswani,Waziri wa usalama wa ndani kipchumba murkomen amewahimiza viongozi pamoja na wananchi kaskazini mwa bonde la ufa kushirikiana na vitengo vya usalama kama njia moja ya kumaliza uhalifu […]
-
Kaunti ya Pokot magharibi imepiga hatua kukabili dhuluma za kijinsia
Bi. Scovia kachapin, Mkewe Gavana Wa Kaunti Ya Pokot Magharibi, Picha / Benson Aswan. Na Emmanuel Oyasi, Serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya […]
Top News





