Author: Charles Adika
-
TSC yaahidi kushughulikia uhaba wa walimu Pokot magharibi
Gavana wa kaunti ya pokot magharibi Simon Kachapin akikagua jengo la shule ya Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti […]
-
Poghisio awasuta wanaopongeza mateso waliyopitia wanaharakati nchini Tanzania
Aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot magharibi Samwel Poghisio,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali baadhi ya viongozi ambao wameonekana kupongeza hatua ya […]
-
Shule ya upili ya Tartar yafungwa ghafla kufuatia maandamano ya wanafunzi
Wanafunzi wa shule ya upili ya Tartar wakiwa nje ya afisi ya mkurugenzi wa elimu, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shule ya upili ya Tartar kaunti ya Pokot magharibi imefungwa kwa […]
-
KVDA yasambaza miche kwa shule za bonde la Kerio
Mkurugenzi mkuu wa KVDA Sammy Naporos akishiriki zoezi la upanzi wa miche, Picha/Angela Cherono Na Emmanuel Oyasi,Mamlaka ya mandeleo eneo la Kerio Valley KVDA inapeana miche milioni moja na laki […]
Top News