Author: Charles Adika
-
Moroto aahidi kuhakikisha umeme unafika kila sehemu eneo bunge la Kapenguria
Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi Samwel Moroto amewahakikishia wakazi wa eneo bunge lake kwamba atahakikisha umeme unafika maeneo ambako kuna changamoto hiyo. Moroto alisema atatumia kipindi […]
-
Mikakati ya kuimarisha usalama Pokot Kaskazini yaendelea
Na Benson Aswani,Idara ya usalama kaunti ya Pokot magharibi inaendelea kuweka mikakati ya kukabili visa vya utovu wa usalama katika baadhi ya maeneo ya eneo la Pokot kaskazini ambako kumeripotiwa […]
-
Manispaa ya Kapenguria yaendeleza vikao na wakazi kuhusu sheria za mji
Na Benson Aswani,Uongozi wa manispaa ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi unaendeleza vikao na wakazi wa manispaa hiyo katika mikakati ya kutunga sheria ambazo zitasaidia katika kupangilia mji wa makutano. […]
Top News