Author: Charles Adika
-
Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom yajumuika na wakazi wa Pokot magharibi kusherehekea miaka 25
Na Benson AswaniKampuni ya mawasiliano nchini Safaricom inazuru maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi kuungana na wananchi katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuzinduliwa hapa nchini. Akizungumza alipoongoza […]
-
Walimu wa JSS waendeleza shinikizo la kutaka kujisimamia
Na Benson Aswani,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS wameendelea kushinikiza shule hizo kuondolewa chini ya usimamizi wa shule za msingi na badala yake kupewa uhuru wa kujisimamia. Wakiongozwa na […]
-
Wakazi Kacheliba walalamikia nafasi chache za usajili wa makurutu wa polisi
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa eneo bunge la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia nafasi chache ambazo eneo hilo lilitengewa katika zoezi la usajili wa makurutu wa polisi ambalo limefanyika jana. […]
Top News









