Author: Charles Adika
-
Wakazi wa Endough watakiwa kujisajili kupata vitambulisho vya kitaifa
Na Benson Aswani,Mwakilishi wadi ya Endough kaunti ya Pokot magharibi Victor Siywat amepongeza idadi ya wakazi ambao wamejitokeza kuchukua vitambulisho katika zoezi ambalo limekuwa likiendelezwa eneo hilo. Akizungumza na kituo […]
-
Poghisio aelezea wasiwasi kuhusu serikali ya muungano
Na Benson Aswani,Huenda hatua ya serikali ya rais William Ruto kuunda serikali ya muungano na chama cha ODM ikawa na malengo ya kufanikisha maamuzi ya serikali pamoja na kutimiza malengo […]
-
Jukwaa la Husika lazinduliwa kukabili changamoto za mabadiliko ya hali ya anga
Na Emmanuel Oyasi,Wadau katika sekta ya mazingira wamekongamana mjini Lodwar kaunti ya Turkana kuangazia mbinu ya kukabili changamoto za mabadiliko ya hali ya anga ili kuzuia athari ambazo hutokana na […]
-
Mashirika ya jamii yapongezwa kwa kuchangia kupungua ukeketaji pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Msaidizi wa kamishina eneo la Chesogon kaunti ya Pokot magharibi Peter Njuguna amepongeza mikakati ambayo imewekwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii ambayo imepelekea […]
Top News









