Author: Charles Adika
-
Uchimbaji madini ulituletea hasara kubwa na haufai kuruhusiwa tena kiholela; Moroto
Na Emmanuel Oyasi,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kulalamikia madhara ambayo yalisababishwa na shughuli ya uchimbaji madini iliyokuwa ikiendeshwa maeneo kadhaa ya kaunti hiyo bila kufuata taratibu. Wakiongozwa na […]
-
Idara ya usalama Pokot Magharibi yaimarisha juhudi za kukabili uhalifu masokoni
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kaunti ya Pokot magharibi Abdulahi Jire amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba usalama umeimarishwa hasa katika masoko na vituo vya biashara ili kuhakikisha visa vya […]
-
Makamishina wapya wa IEBC wakabiliwa na mtihani wa kwanza afisini
Na Emmanuel Oyasi,Makamishina wapya wa tume huru ya uchaguzi na mipaka nchini IEBC wanakabiliwa alhamisi Desemba 27 na mtihani wao wa kwanza katika kusimamia shughuli ya uchaguzi nchini tangu walipoingia […]
-
Kanisa la ACK Pokot magharibi latafuta suluhu kwa migogoro ya uongozi
Na Benson Aswani,Kanisa la ACK dayosisi ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi linaendeleza mikakati ya kusuluhisha mizozo ambayo imekuwa ikishuhudiwa katika kanisa hilo kwa muda sasa hali ambayo imepelekea kuchipuka […]
Top News










