Author: Charles Adika
-
WAGOMBEA NYADHIFA KATIKA UCHAGUZI WA KNUT WAENDELEA KUJIPIGIA DEBE.
Wagombea wa viti mbali mbali katika chama cha walimu nchini KNUT kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kujipigia debe kuelekea uchaguzi wa viongozi wa chama hicho ambao umeratibiwa kuandaliwa tarehe 24 […]
-
KAMPENI YA KUHAKIKISHA WATOTO WOTE WANAENDA SHULE YAENDELEA POKOT MAGHARIBI.
Wito umetolewa kwa wazazi katika kaunti ya Pokot magharibi kuhakikisha kwamba wanao waliofanya mtihani wa KPSEA na wa darasa la nane KCPE wanajiunga na viwango ambavyo wanapasa kuendeleza masomo yao. […]
-
IDADI KUBWA YA WANAFUNZI YAPELEKEA UHABA WA MIUNDO MSINGI SHULENI.
Shule mbali mbali za upili katika kaunti ya Pokot magharibi zimeendelea kukabiliwa na uhaba wa miundo msingi kufuatia idadi kubwa ya wanafunzi wa kidato cha kwanza ambao walisajiliwa katika shule […]
-
MASOMO YAENDELEA KULEMAZWA CHESOGON LICHA YA HAKIKISHO LA SERIKALI.
Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia hatua ya kutofunguliwa baadhi ya shule ambazo ziliathirika na hali ya utovu wa usalama mipakani pa kaunti hiyo, hasa eneo la chesogon licha […]
Top News










