WAKOLI EMMANUEL

CHANGAMKO LA MISA 10AM-1PM


WAKOLI EMMANUEL

DJ RAYYIZ

MPIGO WA KALYA 9AM-10AM & MZUNGUKO AFRICA 3PM-4PM


DJ RAYYIZ

LOCHELE JOSEPH

CHAMAKUTING'U 7PM TILL MIDNIGHT


LOCHELE JOSEPH

DISMAS TERER

4PM-7PM IMONOT


DISMAS TERER

ANGELA CHERONO

10AM-1PM PILKA PILKA


ANGELA CHERONO

ALFAMASH

1PM-4PM MZUNGUKO AFRICA


ALFAMASH

PAUL NGURIARENG

Chamakuting'u -Weekdays 7PM - Midnight


PAUL NGURIARENG

MOSES PSESWA

Kondi Kalya_ Mbiu YA Kalya FM


MOSES PSESWA

MARK NDIEMA

Piikaab Sabaot- Saturday 7PM- Midnight


MARK NDIEMA

JOB CHESUMBAI

Mpigo Wa Kalya FM - Weekdays 6AM- 10AM


JOB CHESUMBAI

News

FAMILIA MOJA KACHELIBA NUSRA ITUMIE MBOLEA KAMA CHAKULA KUFUATIA MAKALI YA NJAA.

Serikali ikiendelea kupeana mbolea ya bei nafuu kwa wakulima maeneo mbali mbali ya nchi, familia moja eneo la Riwo eneo bunge la kacheliba kaunti ya Pokot magharibi nusra ile mbolea hiyo kwa kudhani kuwa ni chakula cha msaada. Kulingana na ...
Continue reading

MASHIRIKA YASIYO YA SERIKALI YAOMBWA KUWASAIDIA WAATHIRIWA WA MAFURIKO ORTUM.

Mbunge wa Pokot kusini katika kaunti ya Pokot magharibi David Pkosing ametoa wito kwa mashirika mbali mbali yasiyo ya serikali kuingilia kati na kuwasaidia wakazi ambao walipoteza mali yao kufuatia mafuriko makubwa yaliyoshuhudiwa eneo la Ortum. Akizungumza alipozuru eneo hilo, ...
Continue reading

WAZAZI BONDE LA KERIO WATAKIWA ‘KUMKUNJA SAMAKI ANGALI MBICHI’ KATIKA KUKABILI TATIZO LA USALAMA.

Ipo haja kwa wazazi katika kaunti za bonde la kerio kuwa karibu na wanao hasa wa kiume kuanzia umri wao mdogo na kuwapa mwelekeo kuhusiana na hali ya maisha pamoja na kuwafunza maadili ili kukabili uhalifu ambao unashuhudiwa katika kaunti ...
Continue reading

MADHARA YA MVUA YAANZA KUSHUHUDIWA, WAFANYIBIASHARA WAKIKADIRIA HASARA ORTUM.

Wafanyibiashara katika soko la Ortum kaunti ya Pokot mgharibi wanakadiria hasara kufuatia maporomoko ya ardhi ambayo yalikumba soko hilo na kuharibu mijengo pamoja na barabara kutokana na mvua kubwa ambayo inaendelea kushuhudiwa nchini. Akizungumza jumapili alipozuru soko hilo kutathmini hali ...
Continue reading

Loading...

[wp_radio_player]