Latest in sports

Hazina ya michezo inafaa kufadhili michezo pekee; Mvuria
Salim Mvuria waziri wa michezo na maswala ya vijana kenya, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Serikali imeanza kuchukua hatua za kulinda mfuko wa michezo, sanaa na maendeleo ya jamii wito ukitolewa wa kufanyiwa marekebisho ya sheria ili kuhakikisha kwamba mfuko huo unatumika ...

Kocha wa St Anthony Kitale Mayoyo amewaonya wapinzani kutarajia kivumbi mwaka huu
Peter Mayoyo {katika} katika hafla moja ya mashindano moja mwaka uliopita, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi, KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya shule ya upili ya St. Anthony Kitale katika kaunti ya Trans nzoia Peter Mayoyo amewaonya wapinzani kutarajia kivumbi ...

Ni sisi wenyewe tunaolemaza soka ya humu nchini; Kachapin
Simon Kachapin Gavana wa kaunti ya pokot magharibi, Picha/Maktaba Na Emmanuel Oyasi,Mwenyekiti wa kamati ya michezo katika baraza la magavana Simon Kachapin amesema mchezo wa kandanda hapa nchini haujafikia viwango vya kuridhisha ikilinganishwa na mataifa mengine barani Afrika kutokana na ...

Kiungo wa zamani wa Harambee Stars, Victor Wanyama, amesajiliwa na klabu ya Daraja la Pili Scotland
Victor Mugubi Wanyama akiwa Dunfermline, Picha/Maktaba Na Presenter wakoli Kiungo wa zamani wa Harambee Stars, Victor Mugubi Wanyama, amesajiliwa na klabu ya Daraja la Pili Scotland, Dunfermline Athletic FC, kwa mkataba wa muda mfupi hadi mwishoni mwa msimu huu, akisubiri ...

Aston Villa To Sign Donyell Malen From Borussia Dortmund
By Njenga Brian Alias Deejay Rayyiz Donyell Malen a forward for Bundesliga club Borussia Dortmund and the Netherlands national team PHOTO/Courtesy Aston Villa are set to add Donyell Malen from Borussia Dortmund to their squad as their first signing of ...