News

Visa vya wizi wa mifugo vyachipuka tena mpakani pa Pokot Magharibi na Turkana

Na Emmanuel Oyasi,Mbunge wa Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi Titus Lotee amelalamikia kukithiri utovu wa usalama mpakani pa eneo hilo na kaunti jirani ya Turkana. Akizungumza na kituo hiki, Lotee alisema licha ya serikali ya kitaifa kupitia idara ya usalama ...

Serikali yaahidi mazingira bora kwa wafanyibiashara Pokot Magharibi

Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesisitiza dhamira ya serikali ya kaunti ya kuhakikisha kuna mazingira bora kwa wafanyabiashara kupitia uboreshaji wa miundombinu, sera zinazounga mkono biashara na ushirikiano wa karibu kati ya sekta ya umma ...

Wakulima wa maziwa wanufaika na mitambo ya kuhifadhi maziwa Pokot magharibi

Na Emmanuel Oyasi,Ni afueni kwa makundi ya wakulima wa maziwa katika kaunti ya pokot magharibi baada ya serikali kuu kupitia wizara ya kilimo kusambaza mitambo mitatu ya kuhifadhia maziwa. Mitambo hiyo inatarajiwa kusaidia kupunguza hasara inayotokana na maziwa kuharibika baada ...

Baa la njaa lawakodolea macho wakazi wa pokot kaskazini

0-4480x2038-0-0# Na Benson Aswani,Serikali ya taifa hili na taifa jirani la Uganda zimetakiwa kuanza mikakati ya kuhakikisha wakazi wa maeneo ya Pokot kaskazini kaunti ya Pokot magharibi na Amudat katika taifa jirani la Uganda wanapata chakula cha msaada mwaka ujao ...

Poghisio: Lazima tujitenge na chuki za kisiasa na tuwahudumie wananchi

Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi dkt Samwel Poghisio ameshutumu vikali hulka ya magavana wanaokuja mamlakani kutelekeza miradi ambayo ilikuwa ikitekelezwa na watangulizi wao. Dkt Poghisio ambaye ametangaza nia ya kuwania ugavana wa kaunti hiyo kwenye uchaguzi ...

Loading...