News

Kampuni ya mawasiliano ya Safaricom yajumuika na wakazi wa Pokot magharibi kusherehekea miaka 25

Na Benson AswaniKampuni ya mawasiliano nchini Safaricom inazuru maeneo mbali mbali ya kaunti ya Pokot magharibi kuungana na wananchi katika maadhimisho ya miaka 25 tangu kuzinduliwa hapa nchini. Akizungumza alipoongoza sherehe hizo eneo la Kacheliba, meneja wa mauzo wa kampuni ...

Walimu wa JSS waendeleza shinikizo la kutaka kujisimamia

Na Benson Aswani,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS wameendelea kushinikiza shule hizo kuondolewa chini ya usimamizi wa shule za msingi na badala yake kupewa uhuru wa kujisimamia. Wakiongozwa na Irene Cheruto, walimu hao katika kaunti ya Pokot magharibi walisema ...

Wakazi Kacheliba walalamikia nafasi chache za usajili wa makurutu wa polisi

Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa eneo bunge la Kacheliba kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia nafasi chache ambazo eneo hilo lilitengewa katika zoezi la usajili wa makurutu wa polisi ambalo limefanyika jana. Wakiongozwa na Joseph Sarich, wakazi hao walisema eneo bunge hilo ...

Kaunti ya Turkana yamulikwa kwa kutosalimisha silaha haramu

Na Benson Aswani,Takriban silaha alfu moja zinazomilikiwa kinyume cha sheria kanda ya kaskazini mwa bonde la ufa zimesalimishwa kufikia sasa kutokana na agizo la serikali, kama njia moja ya kukabili swala la utovu wa usalama kanda hii. Akizungumza baada ya ...

Wafanyikazi wa CICO Pokot Magharibi wagoma kulalamikia malipo duni

Na Benson Aswani,Wafanyikazi wa kampuni ya kutengeneza barabara ya CICO wanaohudumu kwenye barabara ya Kitale-Lodwar eneo la Murpus kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kunyanyaswa na kampuni hiyo wakidai kukiukwa haki zao. Wakizungumza baada ya kuandaa maandamano, wafanyikazi hao wakiongozwa na ...

Loading...