News

Gavana Kachapin atia saini mswada wa kukabili umasikini Pokot magharibi

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametia saini kuwa sheria mswada utakaoiwezesha serikali ya kaunti kutenga kisheria fedha ambazo zitasaidia katika kuimarisha maisha ya wakazi wa kaunti hiyo walio chini kiuchumi, maarufu Poverty Graduation Bill. Akizungumza ...

Lochakapong ataka swala la uchimbaji madini kutoingiza siasa Pokot magharibi

Na Benson Aswani,Mjumbe wa sigor kaunti ya Pokot magharibi Peter lochakapong amewasuta baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hiyo kwa kile amedai wameingiza siasa katika swala zima la uchimbaji madini maeneo ya lami nyeusi na kambi karai. Akizungumza katika ...

Serikali ya Kenya kwanza imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi; Arumonyang

Na Benson Aswani,Katibu wa idara ya kazi za umma Joel Arumonyang ametetea miradi ya maendeleo ambayo inaendelezwa na serikali yake rais William Ruto, akisema serikali kuu imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi. Akizungumza katika afisi za gavana wa kaunti ya Pokot ...

Kampuni ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka yalaumiwa kwa kutelekeza miradi ya maendeleo Kaplelach Koror

Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kaplelach koror eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa miradi ambayo inapaswa kutekelezwa na kampuni ambayo imepewa kandarasi ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka wa Kapenguria -Makutano. Wakiongozwa na Reuben Loitang’or, ...

Wachimba migodi Pokot Magharibi watakiwa kulinda ardhi ya wakazi

Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelalamikia madhara ambayo yamesababishwa na wachimbaji madini eneo la Lami nyeusi katika ardhi ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao kilichowaleta pamoja wakazi na wawekezaji ambao wanaendeleza shughuli ya ...

Loading...