News

Shirika la msalaba mwekundu lazindua kituo cha maswala ya dharura EOC Pokot magharibi

Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amepongeza ushirikiano wa shirika la msalaba mwekundi na serikali yake katika kushughulikia hali tofauti ambazo zimekuwa zikitokea kaunti hiyo kufuatia majanga mbali mbali ambayo yameripotiwa. Akizungumza katika hafla ya kuzinduliwa ...

Hatutakubali kufadhaishwa na serikali ya Kenya kwanza; Kachapin

Na Emmanuel Oyasi,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameisuta vikali serikali kuu chini ya uongozi wa rais William Ruto kwa kile amedai inaendeleza juhudi za kuangamiza ugatuzi. Akizungumza jumanne katika majengo ya bunge la kaunti hiyo, gavana Kachapin ...

Vyombo vya habari vyatakiwa kuwa msitari wa mbele katika vita dhidi ya ukeketaji

Na Benson Aswani,Vyombo vya habari vimetakiwa kuchangia katika vita dhidi ya ya tamaduni ya ukeketaji vinavyoendelezwa na serikali kwa ushirikiano na mashirika mbali mbali ya kijamii, kwa kuhakikisha kwamba vinatoa habari za kweli kuhusiana na hali hiyo. Akizungumza baada ya ...

Wakazi Kacheliba wanufaika na huduma za matibabu kutoka wakfu wa Safaricom

Na Joseph Lochele,Wakazi eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na matibabu ya bure katika kambi ya matibabu ambayo iliandaliwa jumapili kwenye shule ya upili ya wasichana ya Kacheliba, ambayo yalifadhiliwa na wakfu wa Safaricom. Mbunge wa ...

Wakulima watakiwa kukumbatia mbinu za asili za kilimo

Na Emmanuel Oyasi,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wameshauriwa kukumbatia mbinu za kiasili katika kuendeleza shughuli zao za kilimo kama njia moja ya kuimarisha mazao na kuhifadhi mazingira. Wito huu umetolewa na shirika la Ripple effect ambalo limekuwa likiendeleza mafunzo ...

Loading...