News

Lonyangapuo ajitetea dhidi ya matumizi mabaya ya afisi

Aliyekuwa gavana wa kuanti ya Pokot Magharibi John Longangapuo, Picha/Benson Aswan Na Benson Aswani,Aliyekuwa gavana wa kaunti ya pokot magharibi prof. John lonyangapuo amelalamikia matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii, matamshi ya chuki kutoka kwa wanasiasa na propaganda z inazochangia   uhasama ...

Ripple effect yabadili desturi ya ufugaji hadi kilimo cha mimea Pokot magharibi

Mboga ya sukuma wiki katika shamba la mmoja wa wakulima, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakulima mbali mbali eneo la Kamito kaunti ya Pokot magharibi wamenufaika na mafunzo ya kilimo kutoka kwa shirika la Ripple effect Kenya kuhusu mbinu bora za ...

Wakazi Siyoi wapunguziwa mahangaiko ya kutafuta maji

Mradi wa maji Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wa Siyoi kaunti ya Pokot magharibi wamepata afueni baada ya serikali ya kaunti kupitia wizara ya maji kuzindua mradi wa maji eneo hilo utakaowanufaisha zaidi ya wakazi 5000 ambao wamekuwa wakikabiliwa ...

TSC yaahidi kushughulikia uhaba wa walimu Pokot magharibi

Gavana wa kaunti ya pokot magharibi Simon Kachapin akikagua jengo la shule ya Siyoi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amewahakikishia wakazi wa kaunti hiyo kwamba tatizo la upungufu wa walimu ambao unashuhudiwa litashughulikiwa ...

Poghisio awasuta wanaopongeza mateso waliyopitia wanaharakati nchini Tanzania

Aliyekuwa seneta wa kaunti ya pokot magharibi Samwel Poghisio,Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta vikali baadhi ya viongozi ambao wameonekana kupongeza hatua ya serikali ya taifa jirani la Tanzania kuwazuilia baadhi ya wanaharakati ...

Loading...