News

Wabunge waelezea hofu ya usalama kufuatia mauaji ya Were

Peter Lochakapong mbunge wa Sigor kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Viongozi wa matabaka mbali mbali nchini wameendelea kutoa hisia zao kuhusiana na mauaji ya mbunge wa Kasipul Charles Ong’ondo Were. Wakiongozwa na mbunge wa Sigor katika kaunti ...

Shule ya Sangak yakabidhiwa wizara ya elimu, wakazi wakihimizwa kukumbatia elimu

Gavana Simon Kachapin akikagua madarasa kwenye shule ya Sangak, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wakazi wa eneo la lami Nyeusi eneo bunge la Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwapeleka wanao shuleni hasa baada ya kujengwa shule ya Sangak, ili ...

NG-CDF yaungwa mkono pakubwa shughuli ya kukusanya maoni ikiingia siku ya pili

Wakaazi wa sigor wakishiriki vikao vya maoni kuhusu NG-CDF, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Shughuli ya kutoa maoni kuhusu hazina ya ustawishaji maeneo bunge NG-CDF inaingia jumanne siku ya pili huku wabunge wakiwa mbioni kuhakikisha wanafanyia marekebisho kipengee cha katiba ili ...

Viongozi bonde la Kerio wakabana koo kuhusu utendakazi wa Murkomen

Samwel Moroto mbunge wa Kapenguria,Picha/Maktaba Emmanuel Oyasi,Baadhi ya viongozi wa kisiasa katika kaunti hii ya Pokot magharibi wamemtetea waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba murkomen dhidi ya shutuma kutoka kwa baadhi ya viongozi kuhusu utendakazi wake ...

Hofu huku visa vya uvamizi vikianza kuchipuka tena Kerio Valley

David Chepelion afisa mkuu wa maswala ya amani kaunti ya pokot magharibi, Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Wadau mbali mbali wa usalama katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuelezea wasiwasi kuhusu kuchipuka upya visa vya utovu wa usalama, ambavyo vimeshuhudiwa katika ...

Loading...