News

Poghisio ashutumu mauaji ya watoto katika kaunti ya Pokot magharibi

Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameshutumu vikali visa vya kupotea watoto na kupatikana wakiwa wameuawa, ambavyo vimeripotiwa kutekelezwa na raia kutoka taifa jirani la Uganda. Katika mahojiano na kituo hiki, Poghisio alisema inasikitisha kwa ...

Raia kutoka mataifa ya kigeni wanaoishi Pokot Magharibi kukaguliwa upya

Na Benson Aswani,Kamati ya usalama kaunti ya Pokot magharibi imeagiza raia kutoka mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti hiyo kukaguliwa upya ili kuthibitisha uhalali wa vyeti vinavyowaruhusu kuendeleza shughuli zao katika kaunti hiyo. Katika taarifa kwa vyombo vya habari ...

Watu ‘wala watu’ Pokot magharibi

Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya watoto wenye umri mdogo kutoweka katika njia zisizoeleweka na kisha kupatikana wakiwa wameuliwa. Wakiongozwa na mbunge wa Sigor Peter Lochakapong, viongozi hao ambao walikuwa wakizungumza katika boma la ...

Wadau wa elimu Pokot magharibi wapongeza kuzinduliwa basari na serikali ya kaunti

Na Emmanuel Oyasi,Wadau mbali mbali katika sekta ya elimu kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kuzinduliwa basari ya serikali ya kaunti katika hafla ambayo iliandaliwa ijumaa iliyopita katika shule ya upili ya Chesta eneo bunge la Sigor. Mwalimu mkuu ...

Msako wa raia wa kigeni wanaoishi Pokot magharibi bila Kibali waanzishwa

Na Emmanuel Oyasi,Serikali imetangaza msako wa raia wa mataifa ya kigeni ambao wanaishi katika kaunti ya Pokot magharibi bila stakabadhi zinazowaruhusu kuwa hapa nchini. Akizungumza kwa niaba ya kamishina, msaidizi wa kamishina kaunti hiyo Emily Ogolla alitoa agizo kwa maafisa ...

Loading...