News
Viongozi Pokot magharibi na Turkana watakiwa kuimarisha mazingira ya kutekelezwa miradi ya maendeleo
Na Benson Aswani,Waziri wa maswala ya afrika mashariki, maendeleo ya kikanda na maeneo kame Beatrice Askul amewataka viongozi wa kaunti za Pokot magharibi na Turkana kushirikiana kuhakikisha kwamba hali ya utulivu inaendelea kushuhudiwa maeneo ya mipaka ya kaunti hizo. Akizungumza ...
Wanafunzi 74 wanufaika na ufadhili wa elimu kupitia mpango wa Elimu Scholarship Pokot Magharibi
Na Benson Aswani,Wanafunzi 74 wamenufaika na ufadhili wa serikali ya kaunti ya Pokot magharibi kupitia mpango wa ufadhili wa elimu scholarship, karo yao ya shule ikilipwa pamoja na mahitaji mengine ya kimsingi. Mkurugenzi wa elimu kaunti hiyo Magara Onduso alisema ...
Makamanda wa kaunti tano za bonde la ufa wakutana kuweka mikakati ya kukabiliana na mihadarati
Na Emmanuel Oyasi,Kamanda wa polisi kanda ya bonde la ufa Samwel Ndanyi Jumatano, Januari 14, 2026 aliongoza kikao cha usalama kinachohusisha makamanda wa polisi kaunti tano za bonde la ufa kwenye ukumbi wa mtelo mjini Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi ...
Serikali yatakiwa kuanzisha miradi ya maendeleo Bonde la Kerio kudumisha usalama.
Na Benson Aswani,Seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Julius Murgor ametoa wito kwa serikali kuanzisha miradi ya maendeleo maeneo ya mipakani pa kaunti za bonde la kerio hasa baada ya kuanza kushuhudiwa utulivu katika maeneo hayo. Murgor alisema miradi kama ...
Poghisio ashutumu migawanyiko miongoni mwa viongozi Pokot Magharibi.
Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya wadau katika kaunti hiyo kuja pamoja na kusemezana ili kupata mwelekeo wa kisiasa ambao utakuwa wenye manufaa kwa wakazi na kaunti kwa ujumla. Poghisio alisema migawanyiko ...
