News

Mulongo aahidi kupanda miti kwa juhudi baada ya kupokonywa sindano
Debora Barasa Mulongo Akipanda miti,Picha/Benson Aswani Na Benson Aswani,Waziri wa afya anayeondoka Debora Barasa Mulongo amepongeza hatua ya rais William Ruto kumteua kuwa waziri wa mazingira katika mabadiliko ya hivi punde ambayo yametekelezwa na rais katika baraza lake la mawaziri ...

Serikali yaendelea kuweka mikakati ya kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo
Wanafunzi waelekea kupata chakula kupitia mpango wa lishe shuleni, Picha/Benson Aswani Na Emmanuel OyasiShule mbali mbali eneo bunge la Kacheliba katika kaunti ya Pokot magharibi zimenufaika na chakula kutoka kwa serikali katika juhudi za kuhakikisha kwamba idadi kubwa ya wanafunzi ...

Viongozi Pokot Magharibi walaumiwa kwa wakazi kutopata teuzi katika serikali kuu
Daktari Samwel Poghisio,Picha / Maktaba Na Benson Aswani,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio amewasuta viongozi katika kaunti hiyo kwa kile alisema kutochukua hatua yoyote kuwatetea wakazi kupata nafasi katika serikali ya kitaifa. Akizungumza katika mahojiano ya kipekee ...

Viongozi pokot magharibi waomboleza watu wanne walioangamia katika ajali, Uganda
Gari lililohusika Kwenye ajali Tapaach, Picha/Maktaba Na Benson Aswani,Viongozi katika kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kuomboleza vifo vya watu wanne, walioangamia kufuatia ajali mbaya ya barabarani jumamosi usiku kwenye eneo la Tapaach, barabara ya moroto kuelekea loroo nchini uganda. Wanne ...

Wakulima Pokot magharibi wahimizwa kuanza upanzi
Shamba ambalo Linatayarishwa kwa Upanzi Wa mahindi,picha/Maktaba Na Benson Aswani,Idara ya kilimo katika kaunti ya Pokot magharibi imetoa wito kwa wakulima kuanza shughuli ya upanzi wakati huu ambapo kumeendelea kushuhudiwa mvua sehemu mbali mbali za kaunti hiyo na maeneo mengine ...