News

Shule ya wavulana ya Kapenguria yapandishwa hadhi na kuwa ya kitaifa

Na Benson Aswani,Walimu na wazazi wa shule ya upili ya wavulana ya Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamepongeza hatua ya kupandishwa hadhi shule hiyo kutoka kiwango cha extra county hadi shule ya kitaifa. Akizungumza baada ya kupandishwa hadhi shule hiyo, ...

Mpango wa ‘Nyota’ wakosa msisimko uliotarajiwa

Na Benson Aswani,Idadi ndogo sana ya vijana walijitokeza katika hafla ya uhamasisho kuhusu mpango wa kuwawezesha vijana kiuchumi wa Nyota ambao umehasisiwa na rais William Ruto kwa msaada wa benki ya dunia. Akizungumza baada ya kuongoza hafla hiyo iliyoandaliwa katika ...

Wakulima watakiwa kununua dawa za mimea kutoka kwenye maduka yaliyoidhinishwa

Na Benson Aswani,Wakulima katika kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kuwa makini wanaponunua dawa za mimea na kuhakikisha kwamba wananunua kutoka kwenye maduka ambayo yameidhinishwa na bodi ya bidhaa za kudhibiti wadudu, Pests Control Products Board (PCPB). Akizungumza mjini Kapenguria baada ...

Wakazi wa kambi karayi waonywa dhidi ya kukaribia machimbo ya dhahabu yaliyotelekezwa

Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kambi Karayi na maeneo mengine ya kuchimba madini kaunti ya Pokot magharibi wametakiwa kutoendeleza shughuli ya uchumbaji madini katika machimbo ambayo yametelekezwa. Akizungumza ijumaa siku moja tu baada ya wachimba migodi wanne kuaga dunia kwa ...

Chanjo ya HPV yazinduliwa wazazi wakihimizwa kuhakikisha wanao wanapewa chanjo hiyo

Na Benson Aswani,Kundi la wake wa magavana nchini limetoa wito kwa wananchi kukumbatia chanjo ya kuzuia saratani ya kizazi HPV ambayo imezinduliwa rasmi na kundi hilo la wake wa magavana katika hafla iliyoandaliwa mjini Makutano kaunti ya Pokot magharibi. Mwenyekiti ...

Loading...