News

Kachapin awaonya maafisa ‘wazembe’ katika serikali yake

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ameendelea kusisitiza kwamba kamwe hataruhusu maafisa wazembe katika serikali yake. Akizungumza katika katika kikao na wanahabari, Gavana Kachapin alisema atatumia kipindi cha miezi mitatu kuanzia Januari mwakani kutathmini utendakazi wa ...

Kubuniwa hazina ya miundo mbinu ni hatua muhimu kwa safari ya Kenya kufikia Singapore; Poghisio

Na Benson Aswani,Hatua ya baraza la mawaziri kubuni hazina ya miundo mbinu (infrastructure fund) inadhihirisha umakini wa serikali chini ya uongozi wa rais William Ruto kuhakikisha kwamba uchumi wa taifa hili unaimarika na kufikia viwango vya mataifa yaliyoendelea (first world ...

Usimamizi mbaya wa raslimali ndio unaohujumu maendeleo ya taifa; Kachapin

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin amesema maono ya rais kulifanya taifa hili kuwa miongoni mwa mataifa ambayo yameimarika kiuchumi yani first world countries yataafikiwa iwapo kutakuwepo na usimamizi bora wa raslimali za taifa. Akizungumza katika ...

Vijana kutoka jamii za Pokot na Marakwet wadumisha amani kupitia miradi ya kilimo

Na Emmanuel Oyasi,Hatua ya makundi ya vijana kutoka maeneo ya Cheptulel kaunti ya Pokot magharibi na Kaben kaunti jirani ya Elgeyo marakwet kuja pamoja na kuanzisha miradi ya kilimo imechangia pakubwa katika kukabili swala la utovu wa usalama mipakani pa ...

Serikali yahimizwa kulainisha usimamizi wa shule za JSS, kuzuia migogoro zaidi

Na Emmanuel Oyasi,Walimu wa shule za sekondari msingi JSS kaunti ya Pokot Magharibi sasa wanaitaka serikali kupitia wizara ya elimu kulainisha swala la usimamizi wa shule za sekondari msingi, kalenda ya masomo ya mwaka 2026 ikitarajiwa kuanza mwezi januari mwaka ...

Loading...