News

Serikali ya Kenya kwanza imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi; Arumonyang

Na Benson Aswani,Katibu wa idara ya kazi za umma Joel Arumonyang ametetea miradi ya maendeleo ambayo inaendelezwa na serikali yake rais William Ruto, akisema serikali kuu imejitolea kuimarisha maisha ya mwananchi. Akizungumza katika afisi za gavana wa kaunti ya Pokot ...

Kampuni ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka yalaumiwa kwa kutelekeza miradi ya maendeleo Kaplelach Koror

Na Emmanuel Oyasi,Wakazi eneo la Kaplelach koror eneo bunge la Kapenguria kaunti ya Pokot magharibi wamelalamikia kutelekezwa miradi ambayo inapaswa kutekelezwa na kampuni ambayo imepewa kandarasi ya kutengeneza mfumo wa upitishaji maji taka wa Kapenguria -Makutano. Wakiongozwa na Reuben Loitang’or, ...

Wachimba migodi Pokot Magharibi watakiwa kulinda ardhi ya wakazi

Na Benson Aswani,Mbunge wa Sigor katika kaunti ya Pokot magharibi Peter Lochakapong amelalamikia madhara ambayo yamesababishwa na wachimbaji madini eneo la Lami nyeusi katika ardhi ya eneo hilo. Akizungumza katika kikao kilichowaleta pamoja wakazi na wawekezaji ambao wanaendeleza shughuli ya ...

Zoezi la kutwaa silaha haramu bonde la kerio linaendelea vyema; Murkomen

Na Benson Aswani,Waziri wa usalama na maswala ya ndani ya nchi Kipchumba Murkomen ameelezea imani kwamba zoezi la kutwaa silaha zinazomilikiwa kinyume cha sheria na baadhi ya wakazi wa kaunti za Bonde la Kerio litafanikisha juhudi za kuafikia usalama katika ...

Mwekezaji Salah Okech aanzisha mradi wa chakula kwa wakazi Songok

Na Benson Aswani,Wakazi wa maeneo ambako kunaendelezwa shughuli ya uchimbaji madini kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kunufaika na huduma ambazo zinatolewa na baadhi ya wawekezaji katika sekta hiyo maeneo hayo. Hii ni baada ya mwekezaji Salah Okech kuanza mradi wa ...

Loading...