News

Viongozi washutumu kuchipuka tena utovu wa usalama mipakani pa Pokot na Turkana

Na Benson Aswani,Viongozi kaunti ya Pokot magharibi wameendelea kushutumu visa vya mauaji ambavyo vimeshuhudiwa mipakani pa kaunti hiyo na kaunti jirani ya Turkana katika siku za hivi karibuni. Wa hivi punde kuzungumzia swala hilo ni mbunge wa Kapenguria Samwel Moroto ...

Viongozi watakiwa kujitenga na siasa na kuwahudumia wananchi

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya Pokot magharibi Simon Kachapin ametoa wito kwa viongozi kushirikiana katika kuhakikisha kwamba wakazi wa kaunti hii wanapokea huduma bora. Akizungumza katika hafla moja mjini Kapenguria, gavana Kachapin alisema ni jukumu la kila kiongozi kutumia ...

Viongozi Pokot magharibi walaani kuchipuka tena utovu wa usalama mpakani pa Pokot na Turkana

Na Benson Aswani,Gavana wa kaunti ya pokot magharibi simon kachapin amelaani mauaji ya watu watatu waliopigwa risasi katika kijiji cha Loperumoi, Morita–Rumos, mpakani pa kaunti hiyo na ile ya Turkana. Gavana kachapin aliwataka wakazi kwenye maeneo hayo kudumisha utulivu na ...

Owalo aongoza ukaguzi wa mradi wa maji wa Muruny Pokot magharibi

Na Benson Aswani,Mradi wa maji wa Muruny kaunti ya Pokot magharibi utawafaidi zaidi ya watu alfu 350 punde utakapokamilika. Akizungumza baada ya kuongoza ukaguzi wa mradi huo, naibu mkuu wa wafanyikazi katika afisi ya rais Eliud Owalo, alisema kando na ...

Serikali ya kaunti yatoa hundi ya shilingi milioni 19 kwa makundi ya wakulima Karas

Na Benson Aswani,Makundi 19 ya wakulima eneo la Karas kaunti ya Pokot magharibi yamenufaika na shilingi milioni 19 kutoka kwa serikali ya kaunti kama ufadhili wa kuyawezesha kuendeleza shughuli zao za kilimo. Akizungumza jumatano alipotoa hundi ya fedha hizo kwa ...

Loading...