News

Kikundi cha Her Lab, Murpus chapongezwa kwa kuwaimarisha kina mama kiuchumi
Na Benso Aswani,Wajasiriamali kutoka mashirika mbali mbali nchini walikutana jumatano na makundi ya kina mama eneo la Murpus katika kaunti ya Pokot magharibi kubadilishana mawazo kuhusu jinsi ya kujiwezesha na kuimarisha shughuli zao kiuchumi. Mhasisi wa vivo Fashion Group mmoja ...

Poghisio alalamikia madhara yanayosababishwa na kiwanda cha saruji cha Sebit
Na Emmanuel Oyasi,Aliyekuwa seneta wa kaunti ya Pokot magharibi Samwel Poghisio ameelezea haja ya kupanuliwa kiwanda cha saruji cha Sebit ili kiwe na uwezo wa kutengeneza simiti kikamilifu na kuzuia hali ya saruji kutoka katika kiwanda hicho kusafirishwa hadi maeneo ...

Shughuli ya uchimbaji dhahabu yasitishwa rasmi Pokot magharibi
Na Emmanuel Oyasi,Serikali ya kitaifa imeagiza kufungwa mara moja zaidi ya migodi 500 ambayo imekuwa ikitumika kuchimba dhahabu katika kaunti ya Pokot magharibi. Akizungumza Jumatatu baada ya kikao na wadau katoka sekta mbali mbali, kamishina wa kaunti hiyo Abdulahi Khalif ...

Serikali yatakiwa kuweka mikakati ya kukabili baa la njaa Turkwel
Na Emmanuel Oyasi,Wakazi wengi wa eneo la Turkwel kaunti ya Pokot magharibi wanakabiliwa na njaa kutokana na kutokuwepo na mikakati ya kuwahusisha katika shughuli za kilimo cha mimea, na hivyo kuwafanya wengi wao kutegemea mifugo. Naibu spika katika bunge la ...

Bunge la kaunti ya Pokot Magharibi lapitisha sheria itakayoruhusu kuachiliwa fedha za basari
Na Benson Aswani,Kwa muda mrefu fedha za basari katika kaunti ya Pokot magharibi zimekuwa zikitolewa kwa wanafunzi bila ya sheria rasmi ya kuongoza jinsi fedha hizo zinatolewa. Ni kutokana na hilo ambapo bunge la kaunti hiyo lililazimika kuandaa kikao maalum ...